GE2025 CHADEMA inakwenda shimoni

GE2025 CHADEMA inakwenda shimoni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Hahaha kisa lissu? Au kisa kufungiwa harakati zao?

Ni suala la muda tu
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
CDM ni tiger.A slow movement of a tiger is not a mistake but a calculated accuracy.Kwa hali iliyopo na chini ya Lisu kuingia kwenye uchaguzi kwa taratibu zilizopo wangeambulia zero.Bora walivyogoma mpaka reform ifanyike.Baada ya uchaguzi vilio toka vyama rafiki wa ccm watajuta na kuikumbuka Chadema.Mwanzoni nilifikiri kama wewe ila badae nikagundua walifanya uamuzi wa busara na ccm ndio wanateseka kwa uamuzi huo.
 
Upinzani utatokea ndani ya CCM.. hawa ambao ni wapinzani nje, wengi ni wa maslahi yao binafsi na ni mkakati maalumu.. Walio wachache wanao maanisha business kwenye upande wa upinzani wananyooshwa
Waliopo CCM wanalindwa na dola, wanalipwa posho nono, hawana bugudhi na polisi wala kesi na waliopo upinzani ni wepi walio na maslahi binafsi?
Au ni hawa akina polepole?
 
Inawezekana wewe ni mpenzi wa Chadema lakini mimi nimechangia fedha na mawazo kuanzia level ya kata hadi taifa.

Ninachokiona hasa kwa wapenzi wengi wa Chadema hawaoni kinachoendelea huku site.
Hata kama ulichangia fedha haikufanyi kuwa nabii wa hatma ya chadema. Wakati unachangia fedha ilikuwa unatimiza wajibu wako tu kama mwanachama.
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
We are stronger than ever before Kaka. Relax, CHADEMA ni IMANI and we are here to stay.
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Yupo chuma asiyelamba asali Tundu Lissu ataipaisha hadi mawinguni.
 
Sio kwa CHADEMA Hii kaka kwa tafakari hiyo tafuta CHADEMA nyingine hii CHADEMA INATISHA sana ndio maana inaogopwa kama ukoma.
Hapo umeshiba dagaa zako unajamba tu Lissu yupo Ukonga anahenyeka!!
 
Uchaguzi mkuu October 2025,labda tuendelee kusubiri lakini suala la mtu au watu si hoja kwasasa.

Ninachoangalia ni mpangilio mahsusi wa hizi kesi za kufungia chama.

Kesi ya Mwenyekiti na muda wa kampeni na hatimaye uchaguzi.

Tatizo la Watanganyika au Watanzania wengi ni kupenda kusikia kinachowapendeza.

Mfano mzuri ni ujanja unaotumika kuvuta muda kesi ya Lissu.Utabaini hakuna kesi pale wanataka kuiweka chadema busy huku wakikosa muda wa maandalizi ya uchaguzi.

Ukitazama wachangiaji wengi mpaka sasa hawana majibu ya namna chama kitakavyoweza kukabiliana na changamoto za kesi za michongo.

Chama hakina plan B iwapo Mwenyekiti ataendelea kusota rumande.

Chama hakina plan B iwapo Tume wataamua kubadili kanuni mbovu za uchaguzi.

Chama mpaka sasa nakiona kikiwa kimejikita kusikiliza na kufuatilia kesi za Lissu.

Makamu Mwenyekiti anatia huruma hajui afanye nini zaidi ya kutoa matamko ambayo hayana impact na maamuzi ya mahakama.
Si umuulize Mbowe kwanini amefungua kesi kushirikiana na watesi wa Chadema ? Usituchoshe nenda CHAUMMA muda ndio huu
 
Upinzani utatokea ndani ya CCM.. hawa ambao ni wapinzani nje, wengi ni wa maslahi yao binafsi na ni mkakati maalumu.. Walio wachache wanao maanisha business kwenye upande wa upinzani wananyooshwa

..walioko ccm na wao ni wako kwa ajili ya maslahi binafsi. Sasa unawezaje kuwaamini wakienda upinzani?
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Shimoni utakwenda wewe na Samia
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Kwa mwanasiasa kupatikana na kesi hizo huwa mtaji kwake.hapo anaweza kufungwa akitoka ukashangaa kawa mpya kabisa.
 
CCM imepagawa imetumia silaha zote dhidi ya CHADEMA imeshindwa. Imebakia kutoa unabii usiokuwa na kichwa Wala miguu.
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.

..kitaibuka chama kingine kitaendelea toka pale walipoishia Chadema.

..tatizo la Ccm sio Chadema, bali ni ulazima wa kufanya marekebisho ya mifumo, ili Tanzania iwe na demokrasia ya kweli.

..bila mifumo yetu kurekebishwa kama walivyopendekeza Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, na Jaji Warioba, Ccm na vyombo vya dola vitaendelea na operation za kudumu za kuhujumu vyama vya upinzani.
 
Ndipo ambapo equestion ya upinzani na siasa za nchi hii zinakosa balance

..dhana kwamba tukae tukisubiri upinzani wa kweli utoke ndani ya Ccm ni potofu.

..tumetokea katika mfumo ambao kabla ya 1992 kila Mtanzania mtu mzima alikuwa ni mwana Ccm.

..kwa hiyo vyama karibia vyote vya upinzani vilianzishwa na watu waliotokea Ccm. That is a HISTORICAL fact.
 
Heshima sana wanajamvi.

Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.

Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.

Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Rais wa Zambia naye alikuwa jera kama Lissu
 
Back
Top Bottom