Sidhani naamini wapo wapinzani wa kweli nje ya CCM.Upinzani utatokea ndani ya CCM.. hawa ambao ni wapinzani nje, wengi ni wa maslahi yao binafsi na ni mkakati maalumu.. Walio wachache wanao maanisha business kwenye upande wa upinzani wananyooshwa
Kila anayeitakia Tanganyika mema anatamani hivyo lakini mpaka sasa naona giza mbele ya matamanio ya wengi.Kama vile ambavyo Israel imeshindwa kuimaliza Hamas ndiyo CCM na Dola wameshindwa kuimaliza Chadema wanaitaabisha tu lakini hawawezi kuiua.
Sio Chadema tu mkuu, upinzani Tanzania ndio unaisha hivyo.Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
I learned long ago that risking your life for Tanzanians isn’t worth it — they won’t do the same for you.Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Inakufaje wakati mnaiogopa?Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Mwingine huyo.Matamanio yako dhidi ya cdm baada ya Mbowe kushindwa yanafahamika, ila uzuri sisi wafuasi wa cdm wengi tunajitambua na cdm ni imani. Hizi kesi zitapita maana sio halisi bali ni hujuma za kawaida kwenye nchi zenye vyama vinavyozeekea madarakani. Lakini cdm itazidi kuwa imara. Hiki ni kizazi kingine kabisa boss.
Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Inawezekana wewe ni mpenzi wa Chadema lakini mimi nimechangia fedha na mawazo kuanzia level ya kata hadi taifa.Ikifa chadema ndiyo itakuwa furuha yenu wanccm. Sasa mbambamba za nini?
Ndivyo itakavyotokea hata kwa huyuMagufuli alishindwa kuiua chadema, akafa yeye