MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Zooobaah..!!!nani kakwambia wabunge wote lazima wafuatane kila siku? Hebu fikilia kama chadema itakuwa na wabunge 200 katika mkutano mmoja siku moja nani ataongea na nani atakuwa msemaji mkuu? Huyu jamaa ana hakili sana kuliko hao unao waona wafatana kama kunguru,anaelewa sifa ya chama ni kutekeleza ahadi siyo kutafuta sifa majukwaani kwa kulaamikia bei ya maandazi.