Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Kuna mtu ana taarifa ya huyu jamaa maana siku hizi tunakutana mtaani anachapa lapa, juzi nilikutana naye mwenye jana nimemuona katika daladala la kariakoo alikuwa busy anajipangusa majasho. Mpaka sasa huyu jamaa inawezekana chadema wamemtelekeza, mkutano ya Chadema iliyofanyika iringa na kwingineko hakuudhuria
Je ni kweli CHADEMA wanataka kumtosa?
Je ni kweli CHADEMA wanataka kumtosa?