Acha uchochezi...tujadili budget......post yako haina tija
Huyo jamaa ni mwongo Mzee
Labda hana fedha ya mafuta!!Hata kama mkopo bado, ana lile la 2005 - 2010 hivyo kutembea kwa mguu au kupanda daladal si kweli haya ni maneno ya kizushi
Alikuwa anawashughulikia kuwatoa mahabusi wanachama wa CDM waliokuwa mahabusi kutoka na kifo cha mwanachama wa CCM wakati wa kampeni za uchaguzi wa 2010. Kwenye TV alionyeshwa akiwa na hao wanachama baada ya kesi yao kufutwa
shibuda ni mtu wakawaida sana kukosa kwake sio hoja, mbona kabla ya hapo alikuwa akipinga ccm ndani ya cha cha magamba mchukulie ni mpinzani aliyepoa damu na ni mzee sana hivyo mikiki ya police haiwezi lakini tutikomboa tu nchi wanamagamba ndio kabisaa wanampa mpayukaji Mr. Nepi eti hawapiku wapinzani!!! vichekesho
Katika hali ya kusikitisha Mbunge wa MAswa Mh John shibuda kuwa na mtazamo tofauti wa kichama sasa ameamua kujitenga na chama na kusimama peke yake kama mbunge. Maandamano waliyofanya cdm Shibuda hajawai kwenda juzi mbowe kakamatwa wabunge wote walienda Arusha isipokuwa yeye. Kwa wachambuzi wa mambo wanasema Shibuda ameanza kujitenga na chama. Juzi nilikuwa naaongea na mtu wa karibu wa shibuda anasema shibuda anahesabu masaa na siku maana kanyanyaswa sana
Katika hali ya kusikitisha Mbunge wa MAswa Mh John shibuda kuwa na mtazamo tofauti wa kichama sasa ameamua kujitenga na chama na kusimama peke yake kama mbunge.
Maandamano waliyofanya cdm Shibuda hajawai kwenda juzi mbowe kakamatwa wabunge wote walienda Arusha isipokuwa yeye. Kwa wachambuzi wa mambo wanasema Shibuda ameanza kujitenga na chama.
Juzi nilikuwa naaongea na mtu wa karibu wa shibuda anasema shibuda anahesabu masaa na siku maana kanyanyaswa sana
Katika hali ya kusikitisha Mbunge wa MAswa Mh John shibuda kuwa na mtazamo tofauti wa kichama sasa ameamua kujitenga na chama na kusimama peke yake kama mbunge.
Maandamano waliyofanya cdm Shibuda hajawai kwenda juzi mbowe kakamatwa wabunge wote walienda Arusha isipokuwa yeye. Kwa wachambuzi wa mambo wanasema Shibuda ameanza kujitenga na chama.
Juzi nilikuwa naaongea na mtu wa karibu wa shibuda anasema shibuda anahesabu masaa na siku maana kanyanyaswa sana
Msukuma na kiswahili cha Pwani ni wapi na wapi bwana?Acha atuongezee idadi ya wabunge lakini si riziki.Time will judge him kwani 2015 ni CDM ndo itachukua dola na aibu itakuwa juu yake.Tutapambana na wote wenye moyo...Mbona Mwenyekiti wetu tumemsimamia imara katoka. Shibuda will change with time when he gets to learn the truthNampa pole sana kwa kutaka kuishi maisha ya kubahatisha!Choose your path and let all know that this is YOU!!!
Katika hali ya kusikitisha Mbunge wa MAswa Mh John shibuda kuwa na mtazamo tofauti wa kichama sasa ameamua kujitenga na chama na kusimama peke yake kama mbunge.
Maandamano waliyofanya cdm Shibuda hajawai kwenda juzi mbowe kakamatwa wabunge wote walienda Arusha isipokuwa yeye. Kwa wachambuzi wa mambo wanasema Shibuda ameanza kujitenga na chama.
Juzi nilikuwa naaongea na mtu wa karibu wa shibuda anasema shibuda anahesabu masaa na siku maana kanyanyaswa sana
SHIBUDA N MBUNGE WA TZ YOTE KAMA WALIOVYO WABUNGE WOTE WA CDM,MWAHAMA TU MARA ZITTO NA BADO.NJOO UWEKWE SAWA KIJANA,MSUBIRIN KWENYE MAANDAMANO MENGINE ZANZIBAR,MTWARA,PWAN,LINDI ETC HAPO NDO UTAMJUA YEYE NDO NANI.NJAA KALI ccmagambaAmegundua kuwa cdm is not a serious party.Ni chama cha maandamano na vurugu sio maendeleo.Ana haki ya kuwagomea na kama akiona inafaa arudi alikotoka maana alichokuwa akililia ndani ya ccm tayari jakaya kikwete amekwisha anza kukichukulia hatua.