Touch ID
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 209
- 216
asidanganye watu we mamaake wa huyo mtoto ?usidanganye watu
asidanganye watu we mamaake wa huyo mtoto ?usidanganye watu
asidanganye watu we mamaake wa huyo mtoto?
Mwenyezi Mungu Akubariki Kwa Kuwaelewesha Naona Wenye Mtandao Wao Wamebadili Kichwa Cha Habari Ili Kuuficha UozoKwa mada iliyopo mezani bila mbinu za kukwepesha ni FAMILIA YA MAWAZO KUTELEKEZWA
Mleta mada anakumbusha kukumbukwa upya, kusomeshwa mtoto wake mpaka chuo kikuu na ahadi nyingine kemkem.....
Familia ya Mawazo wakati wa msiba ilipata ushirikiano Mkubwa wa kisiasa.... mleta mada anakumbusha....
hadi sasa hakuna ahadi yoyote iliyotekelezwa kwa nini mtoe ahadi za uongoAcha unafiki, yule mtoto anaekaa na lema ni wa nani na zile m100 zilizochangwa je! Unazikumbuka? Au ndio umetumwa kuleta unafiki hapa
hakuna tusi jipya duniani ongezea tena jingine nyie nendeni mkatimize ahadi mlizotoabwana ww au na ww ulikua mke mwenza nini mbna unakomaa sana kwa vitu visivokuhusu? familia ya mawazo ishawawi kuja kwakoo kuomba msaada wowote we unajua familia inaishijee au nyie ndo akina anko uchwara?
Kutekeleza ndiyo kufanyaje
Mkuu Mimi Kichwa Cha Habari Niliandika Hivi " CHADEMA YAITELEKEZA FAMILIA YA ALPHONCE MAWAZO " ... Lakini Wao Wameibadili Ili Kuficha Uozo ...Kutekeleza ndiyo kufanyaje
Asante Kwa Kuwaelewesha Naona Wamebadili Ili Kuficha UozoMods rekebisheni heading.
Kuna tofauti kubwa kati ya kutekeleza na kutelekeza.
Mtoa mada bila shaka alimaanisha "CHADEMA imeitelekeza familia ya Mawazo" na sio kutekeleza kama ilivyo hivi sasa.
U kitakaUmemaliza?
Mmh sio mnaiogopa operesheni UKUTA. Dawa kujirudi na kuacha kuchezea KATIBA ya nchi. Porojo nyingine ziishie huko huko zizini.Kuelekea September mosi wafuasi wa Chadema wanajinadi kuingia kwenye maandamano na migomo kusapoti tamko ya Mwenyekiti wao Mh Freeman Mbowe japo Mmliki wa chama mzee Edward Lowassa hakubaliani na mpango ambao anauona km mkakati wa kishamba. Taarifa kutoka kwa wanachadema watiifu kwa Lowassa zinasema Waziri mkuu huyo zamani haungi mkono operation hiyo lkn ktk kura ndani kamati kuu alishindwa basi yeye ameamua kukaa, ninachopenda kuwakumbusha wafuasi wa chadema ni kuwa makini na maandamano hayo polisi wamejipanga kuuzima kwa mguvu kubwa kuliko mnavyofikiri lakini pia mkumbuke kuna wafuasi wangapi wa chama icho waliyohumia kwa kupigania harakati za kisiasa za upinzani na wengine kupoteza maisha je familia zao zinatunzwa na chama? Marehemu Mwangosi mwandishi wa habari mkoani iringa alikuwa mfuasi kindakindaki wa chadema na mgawa fedha kwa wanahabari ktk mikoa ya nyanda za juu aliuwawa ktk harakati za chadema wkt wa mazishi yake tuliona kila aina ya mbwembwe na ahadi ya kusomesha watoto je hizo ahadi zimetekelezwa je mjane wa mwangosi na watoto wanaishi maisha sawia kama ambavyo mwangosi angekuwepo? Kule Geita kuna tetesi kuwa pesa ya rambirambi tsh 100milioni iliyotolewa na chama kwa familia ya Alphonse Mawazo zimeliwa na kigogo wa chama mpk leo mjsna hajapewa pesa hizo mbaya zaidi hayupo wa kuuliza watu wananung'unika pembeni tu. Wafuasi wa cdm mnapokwenda kushiriki operation Ukuta ukumbuke Mke wako , watoto wako, babako na mamako uwaachie kabisa pesa za kutosha kuwalea maisha yao. Niwape ushauri wazazi waonyeni watoto wenu lkn wakikataa waachani make wahenga walisema asiyesikia la Mkuu uvunjika guu.
Kuelekea September mosi wafuasi wa Chadema wanajinadi kuingia kwenye maandamano na migomo kusapoti tamko ya Mwenyekiti wao Mh Freeman Mbowe japo Mmliki wa chama mzee Edward Lowassa hakubaliani na mpango ambao anauona km mkakati wa kishamba. Taarifa kutoka kwa wanachadema watiifu kwa Lowassa zinasema Waziri mkuu huyo zamani haungi mkono operation hiyo lkn ktk kura ndani kamati kuu alishindwa basi yeye ameamua kukaa, ninachopenda kuwakumbusha wafuasi wa chadema ni kuwa makini na maandamano hayo polisi wamejipanga kuuzima kwa mguvu kubwa kuliko mnavyofikiri lakini pia mkumbuke kuna wafuasi wangapi wa chama icho waliyohumia kwa kupigania harakati za kisiasa za upinzani na wengine kupoteza maisha je familia zao zinatunzwa na chama? Marehemu Mwangosi mwandishi wa habari mkoani iringa alikuwa mfuasi kindakindaki wa chadema na mgawa fedha kwa wanahabari ktk mikoa ya nyanda za juu aliuwawa ktk harakati za chadema wkt wa mazishi yake tuliona kila aina ya mbwembwe na ahadi ya kusomesha watoto je hizo ahadi zimetekelezwa je mjane wa mwangosi na watoto wanaishi maisha sawia kama ambavyo mwangosi angekuwepo? Kule Geita kuna tetesi kuwa pesa ya rambirambi tsh 100milioni iliyotolewa na chama kwa familia ya Alphonse Mawazo zimeliwa na kigogo wa chama mpk leo mjsna hajapewa pesa hizo mbaya zaidi hayupo wa kuuliza watu wananung'unika pembeni tu. Wafuasi wa cdm mnapokwenda kushiriki operation Ukuta ukumbuke Mke wako , watoto wako, babako na mamako uwaachie kabisa pesa za kutosha kuwalea maisha yao. Niwape ushauri wazazi waonyeni watoto wenu lkn wakikataa waachani make wahenga walisema asiyesikia la Mkuu uvunjika guu.
Ahsante kwa tafsiri mkuuU kitaka
K uvunjwa
U ti wa mgongo
T arehe moja
A ndamana
Soma vizuri thread usikurupuke amesema CHADEMA watekeleza ahadi ( walitumia kujiiinua kisisa kumbe ufyoro mtupu) hivyo watekeleze. Hakusema CHADEMA itekeleze ahadi kwa kuwa ndio iliyomuua Mawazo.Mawazo aliuliwa na Chadema? CCM iwajibike kwa matunzo ya familia ya Mawazo