CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

Yaani mkuu kuna baadhi ya vijana humu sijui kama akili zao zinafanya kazi sawa sawa.....yaani yeye akishapewa habari na viongozi wake badala na yeye kutia fikra japo kidogo anaibeba kama ilivyo......

Inawezekana wakina Mbowe wamemwambia kuwa hizo fedha zote amepewa mjane......na yeye akaichukua kama ilivyo bila ya kuangalia hali halisi.....

Hapo juu umetoa ushauri kwamba ukweli uwekwe ili kuonyesha mleta mada ni muongo ,hapa unatuambia kina Mbowe wamemwambia kuwa hizo fedha zote amepewa mjane ,wewe ulikuwepo wakati Mbowe anamuambia hivyo ,unachoshauri na unachotenda ni mbingu na ardhi
 
Hehehe hawa CDM

Niwakuacha tu
Wanaishi kwa kutekeleza Fikra za Mbowe lakini yakiwakuta hawana msaada,
Nasubiria hiyo tarehe moja
Watu wapewe vilema tuone CDM itawasaidia nini.



"Hakuna mtu anataka kumjaribu rais magufuli,hakuna anayetaka kukamatwa,mahabusu siyo pazuri, niulizeni mimi- Tundu lissu""

Shukuru Mungu hapo Lisu kavaa vest nyuepe kuna yule ndugu yako anavaa mtisheti wa blue ndani ya shati angekua yeye ndio kachaniwa pengine huo mtisheti ungekua na matobo matobo
 
Si anatumikia kifungo bado.. Wacha apumzike akija atakuja kukuvaa tena hehehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona kama kilishaisha?
Aaah wapi,mimi post yangu 1 tu huwa inawatoa povu kinoma.
Sio yeye wala mama boy wake.
Halafu mimi wala sina habari [emoji6].
Huu mchezo bwana...
 
Mawazo aliuliwa na Chadema? CCM iwajibike kwa matunzo ya familia ya Mawazo
Mamvi na genge lake wanahusika, alipewa hela za rushwa kugawa na kundi la mamvi akazila na kupelekea kushindwa ubunge na hayo ndiyo malipo, chadema wanajua maana hata chacha yule dodoma walifanya, pia hata yule dokita wa ukweli walimkimbiza tanzania. Kwa ufupi chadema ni li chama mfu la magaidi na wauaji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona kama kilishaisha?
Aaah wapi,mimi post yangu 1 tu huwa inawatoa povu kinoma.
Sio yeye wala mama boy wake.
Halafu mimi wala sina habari [emoji6].
Huu mchezo bwana...
hehehehehe ile siku alifunguka sana mpaka nikashangaa.. Yale mapovu kweli yalimfika mdomoni hakuwa na jinsi zaidi ya kuyatema..
 
hehehehehe ile siku alifunguka sana mpaka nikashangaa.. Yale mapovu kweli yalimfika mdomoni hakuwa na jinsi zaidi ya kuyatema..
Sasa si bora yeye?
Kuna siku nilimtoa povu mama boy wake aiseee nilicheka sana.
Mpaka watu wakanifuata PM eti wamependa nilivyompotezea wakati yeye akimwagika povu.
 
Sasa si bora yeye?
Kuna siku nilimtoa povu mama boy wake aiseee nilicheka sana.
Mpaka watu wakanifuata PM eti wamependa nilivyompotezea wakati yeye akimwagika povu.
hehehehehe lini hiyo?? Baada ya ule msala au kabla??
 
hehehehehe lini hiyo?? Baada ya ule msala au kabla??
Baada ya ule msala, sijui ulikuwa wapi aisee...
Acha anijengee picha za kila aina [emoji12]
Raha sana kumtoa mtu povu halafu ukawa pembeni unamtazama tu anavyomwagika.
 
Baada ya ule msala, sijui ulikuwa wapi aisee...
Acha anijengee picha za kila aina [emoji12]
Raha sana kumtoa mtu povu halafu ukawa pembeni unamtazama tu anavyomwagika.
hehehehehehe hatari sana wewe binti.. Unaona raha tu kuwatoa watu mapovu..
 
hehehehehehe hatari sana wewe binti.. Unaona raha tu kuwatoa watu mapovu..
Nimegundua ligi sio issue,unahakikisha unampa 'jiwe' moja matata sana litakalomuingia barabara.
Hapo atatoa povu hadi utashangaa mwenyewe...cha kufanya kaa na popcorn pembeni...enjoy the show [emoji12].

Sema sasa hivi nipo busy na UKUTA,simchokozi tena.
 
Nimegundua ligi sio issue,unahakikisha unampa 'jiwe' moja matata sana litakalomuingia barabara.
Hapo atatoa povu hadi utashangaa mwenyewe...cha kufanya kaa na popcorn pembeni...enjoy the show [emoji12].

Sema sasa hivi nipo busy na UKUTA,simchokozi tena.
Unashikishwa Ukuta eeehh.. Nyani is funny man hehehe.. Ila JF bana ni burdani tosha..
 
Mawazo alikufa kifo kibaya sana tena akitoka kwenye harakati za kujenga chama. Labda polisi kupitia uchunguzi wamehundua yaliyonyuma ya pazia kuhusu kifo kile.

Lkn tukumbuke kuwa ukifa hautakumbukwa utatelekezwa tu.

Tusubiri taarifa za ukuta tuone
Nilibahatika kufika sehemu aliyouwawa nilipokuwa nimerudi nyumbani toka uzamiani, ni kabla ya kufika kwenye mzani pale Katoro. Hakika hapo ndipo nilikumbuka CCM ni zaidi ya shetani pia huwa najiuliza mtukufu raisi kama ashawahi kutoa pole hata kupitia vyombo vya habari. Kamanda Mawazo kipindi bado niko CCM nilihudhuria sana hotuba zake Kakola Bulyanhulu. Nasema asilimia 75% ya jamii ya kisukuma walimwelewa sana anataka nini. Kifo cha Mawazo ni ushindi mkubwa kwa wezi wa madini walioko Kanda ya ziwa pia na CCM. Anyway tafurahi tu nikisikia wauaji wameuawa same way na walivyomuua Mawazo. Duh R. I. P ngosha ng'wichane
 
Habari yako mkuu sipingani na ww katika unachokieleza je umeshafanya mawasiliano na wale walioahidi? ili kujiridhisha na kutuletea taarifa bila kuegemea upande wowote maana maisha ya mtu hayaitaji unafiki au umbea kabisa, hivyo ningelishauri ungelifuatilia kwa pande zote mbili maana kwa upande wangu naona umeleta mada ya kinafiki kutaka kuonyesha upande fulani ni bora mwingine si bora, ili hali hapa unazungumzia maisha ya watu,tuwe makini katika uletaji wa habari, ni wazo tu.
Kama kuna jambo taudharau upinzani wa Tanzania ni pale watakapotelekeza familia ya Mawazo. R. I. P Mawazo, nashangaa huwa natafuta hotuba zake YouTube sizipati wakati mimi naamini hakuna aliyekuwa na hotuba zenye hisia kali kama ya Nawazo
 
Waungwana poleni na majukumu,

09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.
Kutekeleza ndiyo kufanyaje
 
Hapo juu umetoa ushauri kwamba ukweli uwekwe ili kuonyesha mleta mada ni muongo ,hapa unatuambia kina Mbowe wamemwambia kuwa hizo fedha zote amepewa mjane ,wewe ulikuwepo wakati Mbowe anamuambia hivyo ,unachoshauri na unachotenda ni mbingu na ardhi

Nimeandika kuwa INAWEZEKANA......sijui unajua maana ya inawezekana...ndugu...!!??
 
Back
Top Bottom