CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

Inawezekana pia huyo mjane kalipwa ,sasa kashfa za sijui vijana wa chadema nini nini zinatoka wapi ?

Zinatokana na wengi kufuata kile wanachoambiwa au kuamrishwa viongozi pasi na kutumia akili zao japo kidogo.....!!???

Mfano huyo kijana hapo juu anayesema kuwa zimekusanywa milioni 100 na kupewa mke wa marehemu....wakati hana uhakika na usahihi wa taarifa hizo......
 
Dah, hii nchi kweli imepinda - completely gone to the dogs. Watu wamemuua mtu kinyama. Hawasumbuki kushughulikia jinai hiyo na haki za familia BALI wanaendeleza "raha zao" kwa kuanzisha pia uzi wa kuisanifu familia yake hapa JF!

Mleta mada na wote mnaochangia ni vyema mjichunguze kwanza kama mnayo "moral high ground" ya kusema mnayosema hapa. Dhamira zetu zituhukumu. Hii sio mada ya kuendekezea ujinga uliokithiri. Si suala la kutekeleza au kutotekeleza ahadi za kisiasa na kupata au kupoteza "points". Aliyeuawa ni binadamu; si panya na ukweli ni kuwa kisa cha mauaji yale si chochote zaidi ya ushenzi uliopitiliza katika jamii yetu siku hizi. Na tunauendeleza ushenzi huo kwa uzi wa aina hii ambao ni wazi kuwa umeanzishwa na mtu anayesherehekea maafa yaliyoikumba familia ile. Stupid!
 
nikikumbuka ya Mawazo napata hasira na kujilaumu kwa nini hadi sasa naendelea kuwa mtanzania!!??!!
 
Unashikishwa Ukuta eeehh.. Nyani is funny man hehehe.. Ila JF bana ni burdani tosha..
Acha mboyoyo zako wewe,sijui mchagga wa wapi wewe uliyeoza akili namna hii.[emoji12]

Burudaniiii...siiachi JF labda nipofuke macho [emoji23][emoji23]
 
Acha mboyoyo zako wewe,sijui mchagga wa wapi wewe uliyeoza akili namna hii.[emoji12]

Burudaniiii...siiachi JF labda nipofuke macho [emoji23][emoji23]
Machali Wa r wanasema ana lololo sana, aache lololo.
 
Acha mboyoyo zako wewe,sijui mchagga wa wapi wewe uliyeoza akili namna hii.[emoji12]

Burudaniiii...siiachi JF labda nipofuke macho [emoji23][emoji23]
Huo UKUTA mimi nimekataa kuushika.. Alafu mimi ni mwanachama hai wa CDM ila hii CDM ya sasa imechoka.. Mbowe aachie Uenyekiti, Chama kimebakia kubebwa na Lissu tu sasa.. We need strategic and clean people kukivusha chama sio hao akina Mashinji au Lowassa.. Huo ndio ukweli mchungu..

Back at it, wewe endelea tu kumchokoza Nyani, he is single angalia asije akakuwowa tu alafu mkaja juana kwa ID zenu humu siku ya Honey Moon
 
Huo UKUTA mimi nimekataa kuushika.. Alafu mimi ni mwanachama hai wa CDM ila hii CDM ya sasa imechoka.. Mbowe aachie Uenyekiti, Chama kimebakia kubebwa na Lissu tu sasa.. We need strategic and clean people kukivusha chama sio hao akina Mashinji au Lowassa.. Huo ndio ukweli mchungu..

Back at it, wewe endelea tu kumchokoza Nyani, he is single angalia asije akakuwowa tu alafu mkaja juana kwa ID zenu humu siku ya Honey Moon
Wewe ni ndumilakuwili unayeng'ata na kupuliza.
Kuna siku huwa nakuelewa lakini ukiamua kuwa mnafiki unaboaaaa [emoji13][emoji13][emoji13]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu wewe ni
mchokozi sana.
Unachokoza tu aje ili itokee ligi ufurahi.
 
Wewe ni ndumilakuwili unayeng'ata na kupuliza.
Kuna siku huwa nakuelewa lakini ukiamua kuwa mnafiki unaboaaaa [emoji13][emoji13][emoji13]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu wewe ni
mchokozi sana.
Unachokoza tu aje ili itokee ligi ufurahi.
Mimi ikitokea ndio nafurahi sana.. Nabakia kuwasoma na kuchomekea maneno tu hehehehe
 
Waungwana poleni na majukumu,

09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.
Uliza kwanza serikali ya ccm ilifanya nini..?
 
Ccm waliahidi Maisha bora Kwa kila mtanzania tena Kwa kasi Mpya vipi hii ahadi Kwa familia ya Tanzania wametimiza?
 
Waungwana poleni na majukumu,

09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.
Watu wameshindwa kujenga ofisi ya makao yao makuu wenyewe,na kuona sawa tu kuendelea kuishi kwenye banda kama mbuzi wataweza kweli kujenga banda la kada wao
 
Mamvi na genge lake wanahusika, alipewa hela za rushwa kugawa na kundi la mamvi akazila na kupelekea kushindwa ubunge na hayo ndiyo malipo, chadema wanajua maana hata chacha yule dodoma walifanya, pia hata yule dokita wa ukweli walimkimbiza tanzania. Kwa ufupi chadema ni li chama mfu la magaidi na wauaji
ndio pia waliomuua Sokoine?
 
Waungwana poleni na majukumu,

09/08/2016 nilibahatika kufanya mazungumzo na mke na baadhi ya ndugu wa Alphonce Mawazo inasemekana baada ya mazishi viongozi wa CHADEMA walitoa ahadi kwa familia ya Alphonce Mawazo ikiwemo kuijengea nyumba familia hiyo, kuwasomesha watoto, kuinunulia gari familia hiyo na kuwapatia mtaji wa biashara lakini cha ajabu hadi leo viongozi wa CHADEMA hakuna ahadi yoyote waliyoitekeleza. Mimi kama mtanzania mzalendo kupitia hii thread napenda kuwakumbusha viongozi wa CHADEMA wajitokeze na kwenda kutekeleza ahadi walizoahidi kwa familia ya Alphonce Mawazo.
Acha unafiki, yule mtoto anaekaa na lema ni wa nani na zile m100 zilizochangwa je! Unazikumbuka? Au ndio umetumwa kuleta unafiki hapa
 
Chadema wenzenu ni watu wa maigizo walishauza sura tv zishaondoka basi tena.
 
Hawa chadema waongo sana,c walimtapeli mpaka yule mke wa mwangosi,mwishowe mbowe kaanza kumtongoza yule mjane.
 
hii maada ni mchango tosha ujumbe utawafikia walengwa
bwana ww au na ww ulikua mke mwenza nini mbna unakomaa sana kwa vitu visivokuhusu? familia ya mawazo ishawawi kuja kwakoo kuomba msaada wowote we unajua familia inaishijee au nyie ndo akina anko uchwara?
 
Back
Top Bottom