FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Pesa zako zimehifadhiwa Dubai na wajanja mkuu.. Wewe endelea kusubiri mabadiliko mpaka yaje.. Shtuka mapema before it is too late.. Hao Chadema hawana tofauti yoyote na CCM.. Magufuli alipoanza walisema anatumia Ilani yao kutekeleza majukumu, ila leo wanamtukana eti hakuna anachofanya.. Miaka yote humu walikuwa wanapiga kelele serikali kubuni vyanzo vipya vya kodi na kuacha kukimbizana na kodi za machinga, leo wameweka VAT kwenye Utalii na Transit wanapiga kelele.. Hao ndio BavichaFor more than ten yrs nimechangia chama mkuu! [emoji16] [emoji16] [emoji16] hakuna kitu ruzuku zinakuja sijui zinaenda wapi? Mkuu kuna tatizo mkubali mkatae maana ata kuanzisha redio au tv chadema wameshindwa mikutano na matamasha ya chama hawana sehemu ya kufanyia mkuu si sawa aiseii