ni kweli wakatimize ahadi walizotoaSuala si Nani alimuua Mawazo, bali ahadi iliyotolewa na uongozi wa Chadema kwa familia ya marehemu.
Ahadi ni deni, itimizwe
Kumbe hili suala lipo kisiasa nilipokuwa nafauatilia coment moja moja nkajua huenda ni kweli tanzania ya viwanda ina kazi hata misiba majonz na simanz inageuka uwanja wa siasa nchi imefika sehemu mbaya civil war kwa tz ipo karibu awamu hii.ni hatari yalitoa ahadi hewa
ndio mkuuHivi ni kweli walitoa hizo ahadi za kuwanunulia gari na kuwajengea nyumba?
Sitaki kuamini hilo.
msichukie nendeni mkatekeleze ahadi zenuTuheshimiane tafadhari, maana kila post yako ni matusi. Jitahidi kujenga hoja
ndio wao mkuuNdo mnaotaka kuandamana September 1 msiwe na familia
usidanganye watuMtoto wa Mawazo anakaa kwa Lema na Anasoma shule anayo soma mtoto wa Lema.....
nendeni mkatimize ahadi zenuKama ungekuwa mjuaji na unayetambua umhimu wa Mawazo kwa familia yake pia tungeona thread yako kulaani wauji chichiem ambao walitekeleza unyama huo, au tungekuona unashupaa kudai haki itendeke kwa walio tekeleza mauji hayo..! She on you.![]()
Kama ungekuwa mjuaji na unayetambua umhimu wa Mawazo kwa familia yake pia tungeona thread yako kulaani wauji chichiem ambao walitekeleza unyama huo, au tungekuona unashupaa kudai haki itendeke kwa walio tekeleza mauji hayo..! She on you.![]()
kawatishie watoto wadogo ukweli lazima mkatimize ahadi zenuTahakikisha mnakamatwa tu hata kama ni mpo kwenye mfumo nyie niwachochezi mnatutana
Kwani Komba nae aliuawa kwenye MAANDAMANO Yenye MASLAHI YA MBOWE????????????????????Propaganda hizi...
Vipi familia ya Komba ina hali gani?
Kwani Mawazo aliuawa kwenye maandamano?Kwani Komba nae aliuawa kwenye MAANDAMANO Yenye MASLAHI YA MBOWE????????????????????
Hayo ndio huwa majibu ya machadema, pale yanapobanwa na hoja za ukweli.Kwahiyo unataka waihamishie UFIPA tumia kidogo akili kichwa tikitimaji nini?
Kwa nini machadema yalitoa ahadi sasa za kujenga nyumba,gari, na kuwasomesha kama walijua watabadili gia angani na kuitupia mpira ccm?Mawazo aliuliwa na Chadema? CCM iwajibike kwa matunzo ya familia ya Mawazo
Mimi ni ccm kwa taarifa yako na kadi yangu inaanza AF kwa taarifa yako ila huwa spendi siasa za maji taka..Kwa nini machadema yalitoa ahadi sasa za kujenga nyumba,gari, na kuwasomesha kama walijua watabadili gia angani na kuitupia mpira ccm?

Bavicha wao wametumwa kupinga kila kitu... Tena kupinga bila hoja, sasa wanaacha kumkosoa jamaa kistaarabu wao wanarusha matusi tu..Sioni sababu ya watu humu kumshambulia na kumtukana mtoa mada.......
Uongo daima unazimwa na ukweli.....na uongo ukiachwa bila ya kuuzima utaaminika na watu kana kwamba ndio ukweli.........
Kama kweli CHADEMA walitoa ahadi hiyo kwa familia ya kamanda Mawazo na hawajatekeleza hata moja si jambo la kiungwana......njia pekee ya kumshushua mtoa mada ili aone haya ya kupost uongo siku nyingine ni kuumwaga ukweli wa jambo lenyewe......
Simamia kweli kwa kuwa kweli daima hutuweka huru.....
Machadema malaghai na vigeugeu sana! Kuna watu walimtukana sana Lowasa, leo ndio wabeba mikoba wake, sishangai hata haya ya kuikana familia ya Kamanda mawazo, ha ha ha ha!weka picha za mahojiano...hapa
Siasa za kudanganya na kubadilia gia anagani sio? Bila shaka una maana hiyo.Mimi ni ccm kwa taarifa yako na kadi yangu inaanza AF kwa taarifa yako ila huwa spendi siasa za maji taka..![]()