Ukuta mkuu
Member
- Aug 2, 2016
- 44
- 8
Sasa wameitelekeza vipi? Kwanza twambie wauaji wamesha kamatwa? Au nawewe ni wale wale wa buku7 usituondoe kwenye UKUTA
Bavicha wao wametumwa kupinga kila kitu... Tena kupinga bila hoja, sasa wanaacha kumkosoa jamaa kistaarabu wao wanarusha matusi tu..
Mimi ni mtu jamii ya akina Nyerere chadema wakifanya madudu anasema ssm wakiharibu nakemea pia, siungi mkono vurugu lakini pia siungi mkono kukataza mukutano ya kisiasa pia.Siasa za kudanganya na kubadilia gia anagani sio? Bila shaka una maana hiyo.
Ndio wanataka kupewa nchi hao... Yetu macho..Hii inashangaza kiongozi....sijui wanatumia vitu gani vinavyoharibu akili zao......
Yaani mtu anashindwa hata kutumia dakika moja tu ya kufikiria cha kujibu zaidi ya tusi....tena wakati mwengine ni ya maungoni kabisa......
Wanajitafutia laana kwani humu watu wengine wanaowatusi ni sawa na baba zao na pengine ni baba zao kabisa....kutokana na haya mambo ya fake id.....
Wala siyo ugomvi nendeni mkatimize ahadi mlizotoa[/QUOTE
Kaka nani kasema kuwa huu ni ugomvi? mm toka mwanzo nimesema kuwa yawezekana uko sahihi ila uko so selfish tena nikakufafanulia kuwa tunachotaka hapa si unafiki na umbeya ni namna ya kupata ukweli tujue je, kauli yako ina mashiko au ndio beti ya taarabu? maadamu mpaka sasa huonyeshi dalili za kusema hata wewe kwa huruma kama uliyoionyesha hapa kwa kuandika utadhani MALAIKA kumbe ni MNAFIKI na MMBEA MKUBWA, KWA MAWAZO YANGU HUFAI KUTUNGA AU KUANZISHA MADA ILA SUBIRI WATU WAANZISHE UCHANGIE, KAMA ILIVYOKUWA UNAJIBU MASWALI YAKO YA MULTIPLE QUESTIONS KWENYE MITIHANI. SIKU NJEMA.
Kama mdau mmoja alivyoshauri pale juu ingelikuwa vyema ukapata maelezo ya upande wa pili kabla hujapost kitu chochote.
Hizi ndizo ofisi za chama kikuu cha upinzani Tanzania kinachopokea Ruzuku ya zaidi ya Million 300 kwa mwezi, hapo bado michango binafsi ya wanachama wake.. Hivi hawa kama sio group ya matapeli ni nini?? Mke wa mawazo afanye yake tu asijisumbue kusubiri ahadi hewa..
![]()
Hiyo ni Ofisi Kuu ya Chadema... Ndipo wanapopatikana Mbowe, Tundu Lissu, Mnyika, Mdee na wengineo.. Yaani hapo hata Ulinzi hakuna. Alafu walivyo matapeli wamekuwekea bango ya M-Pesa hapo nje uchangie chama.. Ebu angalia vizuri hapoMkuu ulimaanisha ofisi kuu ya CDM au ofisi ya diwani....??!!!
nendeni mkatimize ahadi zenuUzandiki
Hizi ni Office za Chama cha Kiiza Besigye FDC pale Uganda... Linganisha hizi office za makao makuu ya Chadema ndipo utagundua CDM ni kundi la matapeli..
![]()
![]()
![]()
Hiyo ni Ofisi Kuu ya Chadema... Ndipo wanapopatikana Mbowe, Tundu Lissu, Mnyika, Mdee na wengineo.. Yaani hapo hata Ulinzi hakuna. Alafu walivyo matapeli wamekuwekea bango ya M-Pesa hapo nje uchangie chama.. Ebu angalia vizuri hapo
![]()
Hoji Ruzuku uonyeshe cha mtema kuni... Utaitwa msaliti au kuuwawa au kupandikiziwa fitna kibao.. Office ziko hoi, hapo nje hilo gari lililopaki linajenga hiyo office na kununua furniture nzuri tu ila cha ajabu hadi hako kagofu eti wamepanga..Pia waone jinsi police walivyo tanda
Waropokaji wanawadanganya vibendera eti demokrasia hahaha
Mwenyekiti wa chama hataki demokrasia ndani ya chama
Hataki kuhoji mapato na matumizi ya chama
Ofice kama banda la sungura miaka 23!!!
Kamanda changia chama kwanza ili tujenge ofisi..Kwa matumizi ya rasimali za chama mbowe zero hapo! Kashindwa kujenga ofisi..!??
For more than ten yrs nimechangia chama mkuu! [emoji16] [emoji16] [emoji16] hakuna kitu ruzuku zinakuja sijui zinaenda wapi? Mkuu kuna tatizo mkubali mkatae maana ata kuanzisha redio au tv chadema wameshindwa mikutano na matamasha ya chama hawana sehemu ya kufanyia mkuu si sawa aiseiiKamanda changia chama kwanza ili tujenge ofisi..
![]()