KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Kaulize kama hizo 100 Mil zimemfikia mjane wa Mawazo, zilivyopatikana tu zilichukuliwa na uongozi wa juu kwa kile kilichoitwa kulipa wanasheria na gharama za kumweka mwekiti mbowe pamoja na lowassa mwanza wakati wakishughurikia kesi ya maziko ya Mawazo
Yaani mkuu kuna baadhi ya vijana humu sijui kama akili zao zinafanya kazi sawa sawa.....yaani yeye akishapewa habari na viongozi wake badala na yeye kutia fikra japo kidogo anaibeba kama ilivyo......
Inawezekana wakina Mbowe wamemwambia kuwa hizo fedha zote amepewa mjane......na yeye akaichukua kama ilivyo bila ya kuangalia hali halisi.....
