Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Nimeishia kusoma hapa nikajua tu umeandika ujinga, Yaani unataka tutumie violence? Mshukuru MUNGU sana kuwa CHADEMA inaamini katika busara na upendo NO HATE NO FEAR.... kwanini tuanzishe violence kwenye nchi yetu wenyewe?Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.