CHADEMA hawana uwezo wa kuchukua nchi. Wakikamiwa wanapoa Kama uji wa dundi

Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.
Nimeishia kusoma hapa nikajua tu umeandika ujinga, Yaani unataka tutumie violence? Mshukuru MUNGU sana kuwa CHADEMA inaamini katika busara na upendo NO HATE NO FEAR.... kwanini tuanzishe violence kwenye nchi yetu wenyewe?
 
Unataka CHADEMA IKAZE NINI? iLI IWEJE? ili mpate justification ya kukifuta? Mimi nilidhani ungekua na akili ungesema CCM hawana uwezo wa kukaza (whatever) maana wao ndio wanajificha nyuma ya state apparatus kutawala na si vinginevyo. Tell them waweke Polisi, TISS, Mahakama, Bunge, NEC na Msajili wawe independent uone kama CCM wataonekana hata mmoja....
 
Kuna njia nyingi za kuheshimiana ukiacha hayo mapambano makali, unaweza ukafanya siasa za kistaarabu, ukawa really na ukaheshimika sana tu. Tatizo linakuja pale ambapo watu wavivu na wajanja wajanja wanapojiingiza kwenye siasa kwa nia yakujipatia kipato kingi na kwa urahisi, Mifano ni Mingi michache ni hawa akina Mdee, Katambi, Mwita, Gekul, nassari....Wananchi wanawapigania, wanahatarisha maisha yao kupambana na vyombo vya dola kuhakikisha wanatangazwa, mwisho wa siku wanaacha ubunge wenyewe wanaamia CCM! And ukiwauliza viongozi wanatoa jibu rahisi tu, eti wamenunuliwa hao!!!!! Sasa kama watu waliopo chini ya uongozi wako wananunuliwa na wewe unaona jambo la kawaida tu, nani atakuamini wewe na chama chako siku za mbeleni?
Hao wote unawaonea tu ila tatizo ni sisi wananchi kwa ujumla na watawala.
 
Nimeishia kusoma hapa nikajua tu umeandika ujinga, Yaani unataka tutumie violence? Mshukuru MUNGU sana kuwa CHADEMA inaamini katika busara na upendo NO HATE NO FEAR.... kwanini tuanzishe violence kwenye nchi yetu wenyewe?

Mimi namshukuru Mungu Kwa Jambo lolote Mkuu iwe Shari au shwari.

Sijasema muanzishe Shari bali pambaneni kufuatana na adui yenu anavyowajia
 
Mimi namshukuru Mungu Kwa Jambo lolote Mkuu iwe Shari au shwari.

Sijasema muanzishe Shari bali pambaneni kufuatana na adui yenu anavyowajia
Hapana, tunamuamini Mungu! Hatuwezi kumwaga damu kisha tuombe ridhaa ya kuongoza huku tukiwa na damu za watu....never.

Chadema sio CCM ambbao wako tayari kupoteza au kudhulumu haki ya MTU ili wabakie madarakani
 
ROBERT HERIEL, tangu nimeanza kukusoma post zako nimegundua kuwa wewe ni mweupe sana kichwani. Nyuzi zako zote zinahusu Chadema.

Tushakuambia mara milioni, kwamba ccm ilishajifia kitambo. Haipo tena, Chadema inafanya shughuli zake katika mazingira magumu ya kisiasa. Na wewe unajua.
Mizani ya ushindani kati ya the so called ccm na Chadema si sawa. Ccm wanatumia njia zote ovu, wanavunja sheria na hakuna mtu wa kuwawajibisha. Unatakaje hawa washinde kwenye mazingira kama haya?
Siasa ni majukwaani na mabarabarani hii ni kauli ya mwalimu nyerere. Chadema wamekatazwa majukwaani na mabarabarani pia. Unapataje wanachama wapya? Unafikishaje sera za chama kwa watu?

Jiangalie mdogo wangu. Usipokuwa makini nitakutukana.
Wewe hujaelewa kabisa mada.
Mtoa mada anachoelezea hapa ni kwamba Chadema hawana consistence kwenye mambo yao.
Yaani wanarukia rukia mambo,kabla jambo fulani halijafikia mwisho wake wanaliacha wanarukia lingine,baadae wananchi wanasubiria muendelezo mara hao wanaosubiriwa watoe muendelezo wanahama chama na kurukia chama kingine hii inawachanganya wananchi na kuwaona hawapo serious kwa ajili ya kuchukua nchi bali wapo kwa ajili ya kuchuma pesa tu.
 
Hapana, tunamuamini Mungu! Hatuwezi kumwaga damu kisha tuombe ridhaa ya kuongoza huku tukiwa na damu za watu....never.

Chadema sio CCM ambbao wako tayari kupoteza au kudhulumu haki ya MTU ili wabakie madarakani


Hapo ndio mnapokosea
 
Salama Wakuu!

Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.

Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.

Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.

Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.

Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.

CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.

CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.

Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.

CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.

CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.

Nawasilisha
Mimi sio Chadema lakini sikuungi mkono kwa Sababu ,kama unasema hawana nguvu basi ludi nyuma mwaka Jana uchuguzi mkuu na ule serikali za mitaa.kwa akili ya kawaida unatumiaje nguvu ya Dola kupambana na mtu aside na nguvu?CCM walitumia nguvu ya kupola uchaguzi 2020.
Uwe unaongea kwa fact sio kwa ushabiki
 
Haya mambo shida wanayaanzia juu kitu cha kufanya wawajaze sumu kwa Raia huku chini kwa muda wa Miaka miwili Then ndo waende kwenye media lakini haya masuala ya kukimbilia camera fasta hawawezi fika
 
Salama Wakuu!

Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.

Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.

Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.

Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.

Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.

CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.

CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.

Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.

CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.

CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.

Nawasilisha

Kwa bahati mbaya vyombo vya dola ndio umevifanya kuwa ccm. Cdm imeshavuka hatua ya kupambana na ccm, kwa sasa wanatafuta njia sahihi ya kuvizidi mahesabu vyombo vya dola. Kwanini inakuwa ngumu kwa cdm kuvizidi vyombo vya dola, bado cdm hawataki kutumia njia za hatari kufanikiwa kisiasa. Njia za matumizi ya silaha za moto, kulipua sehemu za umma bado sio njia cdm waitakayo. Kwenye ushindani watoe ccm, maana hawapitii njia wanayopitia cdm kufanya siasa.
 
Mnyika alituambia tujiandae kwa makongamano ya katiba pale alipoishia Mbowe wao wataendeleza, tena alisema ni maagizo ya kamati kuu, Heche naye akakazia, inapita mwezi now wote wapo kimyaa! Mnyika sijui hata huko Ufipa anaenda siku hizi, Heche yeye yupo busy kukamua maziwa ng'ombe wake!! Lissu akasema hawatamuwekea wakili Mbowe, wala kumuombea dhamana, vilevile hataongea chochote, leo hii Mbowe ana mawakili zaidi ya 5, na kila siku watu wake wanampigia magoti Mother aongee na DPP aifute kesi!! CDM sijui hata wanasimamia nini kwa sasa kwenye siasa za TZ
Nimecheka kishenzi huu uhuni ulioandika hapa. Ccm kipindi cha JK walituimbisha umeme wa Gas sijui uchumi wa gas kama watoto wadogo. Huku wakisema umeme wa maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi. Bomba la gas likifika Dar. Kipindi cha Magufuli wakasema umeme wa maji ndio wenyewe maana ni wa bei rahisi, sasa tuko kwenye bwawa la SG, Je yale mabadiliko ya tabia nchi yaliisha kipindi cha JK mpaka tumerudi kwenye umeme wa maji? Tupe msimamo wa ccm kwenye Hilo.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwa bahati mbaya vyombo vya dola ndio umevifanya kuwa ccm. Cdm imeshavuka hatua ya kupambana na ccm, kwa sasa wanatafuta njia sahihi ya kuvizidi mahesabu vyombo vya dola. Kwanini inakuwa ngumu kwa cdm kuvizidi vyombo vya dola, bado cdm hawataki kutumia njia za hatari kufanikiwa kisiasa. Njia za matumizi ya silaha za moto, kulipua sehemu za umma bado sio njia cdm waitakayo. Kwenye ushindani watoe ccm, maana hawapitii njia wanayopitia cdm kufanya siasa.
Eti jamaa anajiita mwanafasihi wakati hoja zake hazina hata ushahidi,Kwa majalib na mateso ambayo Chadema wamepitia na bado wakavuka Hawa jamaa ni mashujaa,heshima kubwa kwao,nimpe mfano acheki uchaguzi wa mwaka Jana ndo atajua jamaa ni moto,kwa akili yake vyombo vya Dola vilikua vinapambana na Chadema dhaifu.
 
Salama Wakuu!

Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.

Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.

Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.

Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.

Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.

CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.

CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.

Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.

CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.

CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.

Nawasilisha
Naomba unijibu hili swali: Kwanini mnateketeza kodi zetu kila siku kupambana na chama/watu ambao mna uhakika kuwa hawana uwezo wa kuchukua nchi?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Salama Wakuu!

Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.

Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.

Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.

Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.

Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.

CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.

CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.

Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.

CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.

CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.

Nawasilisha
Naomba unijibu hili swali: Kwanini mnateketeza kodi zetu kila siku kupambana na chama/watu ambao mna uhakika kuwa hawana uwezo wa kuchukua nchi?
 
Back
Top Bottom