Chadema hawajakiuka maadili?

Chadema hawajakiuka maadili?

chadema mzee wa marehemu anadaiwa 5000 mpeni hiyo hela kwanza sabodo amesha wapatia 10 million!
 
Kuna Watanzania wanapiga ngoma inayoitwa UDINI na baadhi ya watu wameanza kucheza na kuimba,
Kwao kila jambo leo linaunganishwa na UDINI hata lisilostahili kwa sababu tu watanzania wana DINI zao,
Hiki kikundi kinafurahi sana pale ambapo watu wameanza kucheza hiyo ngoma na watafurahi zaidi siku mkianza kwa pamoja kuchukua mapanga na shoka na mkaanza kuchinjana.
Naamini hiki kikundi hakipenda kuiona Tanzania yenye watu wa DINI tofauti wakiishi kwa pamoja kwa furaha.
Nataka kuwaambia mtu akikugombanisha na jirani/ndugu na wewe ukakubari kugombana either kwa kujua au kutokujua na wewe utakuwa ZUZU..... Watanzania tusikubali kuwa mazuzu, tutaendelea kuishi kwa Amani na upendo na kuvumiliana, Tanzania ya waislamu na wakistu itaduma na itashinda vishawishi vyote vya SHETANI vya kutaka kutugawa.
 

Mungu walaze mahali pema peponi waliokufa katika maandamano ya kudai haki, maana maandiko yanasema tafute nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.

Habari leo kama lilivyo jina lao wao kila kitu ni habari, hapo mimi sijaona habari iliyoandikwa ambayo inaweza kumvuta msomaji kusoma na hata akisoma haina mantiki.

Kwanza, Hiyo familia inaonekana inatumiwa maana habari kama hii ilibidi itoke tangu mwanzo kabla ya kuagwa maana watu wamekufa wamekaa hosptali kwa nini kwa imani yao hawakwenda kuichukua maiti yao ikazikwa mapema. Mambo ya kusema umaskini uliwaponza ni uongo mtupu, mbona Arusha waislamu wapo wengi tu ambao wangeweza kuwasaidia, watanzania ni wazito kusaidia kwenye mambo ya elimu, ugonjwa lakini kwenye misiba aaaah

Pili, Maelezo ya msemaji wa familia hayana mantiki maana naona kama yanakosa kituo, yaani ni maelezo ya kuunga unga, utafikiri yametolewa na mtoto wa darasa la kwanza au chekechea.
 
MBALI na masikitiko yaliyotolewa na familia ya marehemu Ismail Omari (25) aliyeuawa katika vurugu za kisiasa zilizotokea Januari 5, mwaka huu mkoani Arusha, waumini wengi wa kiislamu wameonekana kutofurahishwa na kitendo cha kuagwa kwa maiti hiyo.
Watu hao walioweza kuzungumza na NIFAHAMISHE wamesema kitendo hicho si cha kiungwana kilichofanywa na Chama hicho kwa kuwa walikiuka maandiko na maamrisho ya dini ya kiislamu.

Chadema juzi iliwaaga kwa pamoja watu waliofariki katika vurugu katika uwanja wa NMC mkoani Arusha tukio lililoandaliwa na chama hicho.

Mbali na watu hao pia familia ya marehemu huyo ililalamikia kitendo hicho na kudai ilishinikizwa kwa nguvu kupeleka maiti hiyo uwanjani hapo kwa ajili ya kuiaga.

Akizungumza kwa masikitiko baba mzazi wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Omar Juma, alisema walipata shinikizo kutoka kwa chama hicho na kuamriwa kuwa maiti hiyo itawekwa uwanjani ili wafuasi wa chama hicho wapate kuiaga maiti hiyo kwa kuwa marehemu alikufa kishujaa.

Alidai viongozi wa Chadema waliamuru familia hiyo endapo itakataa na kutokukubali kuaga maiti ya ndugu yao chama hicho kitajivua na kujitoa kushughulikia gharama za mazishi na kuifanya familia hiyo kuuacha mwili huo katika chumba cha maiti kwa kuhofia wafuasi wa chama hicho watawadhuru kwa kuwa walifurika katika chumba hicho cha kuhifadhia maiti.

Aliendela kudai kuwa kutokana na sababu hizo familia hiyo ilibaki na masikitiko makubwa kwa kuwa wafuasi wa chama hicho walikuwa wamevalia njuga suala hilo na familia kubaki katika wakati mgumu kutokana na waislamu kuchukukizwa na kitendo hicho na kauli ya viongozi hao.

Hata hivyo Familia hiyo iliomba radhi kwa shehe waliomundaa kwa ajili ya kushughulikia mazishi hayo kwa kupata usumbufu wa kuondolewa katika chumba cha maiti.

Imedaiwa kuwa shehe huyo iliitaka familia hiyo isimuombe yeye msamaha bali iombe msamaha kwa Mwenyezi Mungu.

Watu watatu walipoteza maisha huko mkoani Arusha katika mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na Polisi kutokana na kufanya maandamano yaliyozuiwa na jeshi hilo.

NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
 
MBALI na masikitiko yaliyotolewa na familia ya marehemu Ismail Omari (25) aliyeuawa katika vurugu za kisiasa zilizotokea Januari 5, mwaka huu mkoani Arusha, waumini wengi wa kiislamu wameonekana kutofurahishwa na kitendo cha kuagwa kwa maiti hiyo.
Watu hao walioweza kuzungumza na NIFAHAMISHE wamesema kitendo hicho si cha kiungwana kilichofanywa na Chama hicho kwa kuwa walikiuka maandiko na maamrisho ya dini ya kiislamu.

Chadema juzi iliwaaga kwa pamoja watu waliofariki katika vurugu katika uwanja wa NMC mkoani Arusha tukio lililoandaliwa na chama hicho.

Mbali na watu hao pia familia ya marehemu huyo ililalamikia kitendo hicho na kudai ilishinikizwa kwa nguvu kupeleka maiti hiyo uwanjani hapo kwa ajili ya kuiaga.

Akizungumza kwa masikitiko baba mzazi wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Omar Juma, alisema walipata shinikizo kutoka kwa chama hicho na kuamriwa kuwa maiti hiyo itawekwa uwanjani ili wafuasi wa chama hicho wapate kuiaga maiti hiyo kwa kuwa marehemu alikufa kishujaa.

Alidai viongozi wa Chadema waliamuru familia hiyo endapo itakataa na kutokukubali kuaga maiti ya ndugu yao chama hicho kitajivua na kujitoa kushughulikia gharama za mazishi na kuifanya familia hiyo kuuacha mwili huo katika chumba cha maiti kwa kuhofia wafuasi wa chama hicho watawadhuru kwa kuwa walifurika katika chumba hicho cha kuhifadhia maiti.

Aliendela kudai kuwa kutokana na sababu hizo familia hiyo ilibaki na masikitiko makubwa kwa kuwa wafuasi wa chama hicho walikuwa wamevalia njuga suala hilo na familia kubaki katika wakati mgumu kutokana na waislamu kuchukukizwa na kitendo hicho na kauli ya viongozi hao.

Hata hivyo Familia hiyo iliomba radhi kwa shehe waliomundaa kwa ajili ya kushughulikia mazishi hayo kwa kupata usumbufu wa kuondolewa katika chumba cha maiti.

Imedaiwa kuwa shehe huyo iliitaka familia hiyo isimuombe yeye msamaha bali iombe msamaha kwa Mwenyezi Mungu.

Watu watatu walipoteza maisha huko mkoani Arusha katika mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na Polisi kutokana na kufanya maandamano yaliyozuiwa na jeshi hilo.

NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.


jamani kama ni uwongo ndio huu,si tuliwaambia wanaweza kufanya maziko kutokana na taratibu zao?ni wao waliomba maiti ije uwanjani acheni uwongo waandishi ambao elimu zenu ni za kata kwani mnapotosha jamii,nani mwanafamilia wa Ismail,msiyoyajua ni kama usiku wa giza.ni waslam wangapi walikuwako uwanjani wao hawajui taratibu zao.
 
MBALI na masikitiko yaliyotolewa na familia ya marehemu Ismail Omari (25) aliyeuawa katika vurugu za kisiasa zilizotokea Januari 5, mwaka huu mkoani Arusha, waumini wengi wa kiislamu wameonekana kutofurahishwa na kitendo cha kuagwa kwa maiti hiyo.
Watu hao walioweza kuzungumza na NIFAHAMISHE wamesema kitendo hicho si cha kiungwana kilichofanywa na Chama hicho kwa kuwa walikiuka maandiko na maamrisho ya dini ya kiislamu.

Chadema juzi iliwaaga kwa pamoja watu waliofariki katika vurugu katika uwanja wa NMC mkoani Arusha tukio lililoandaliwa na chama hicho.

Mbali na watu hao pia familia ya marehemu huyo ililalamikia kitendo hicho na kudai ilishinikizwa kwa nguvu kupeleka maiti hiyo uwanjani hapo kwa ajili ya kuiaga.

Akizungumza kwa masikitiko baba mzazi wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Omar Juma, alisema walipata shinikizo kutoka kwa chama hicho na kuamriwa kuwa maiti hiyo itawekwa uwanjani ili wafuasi wa chama hicho wapate kuiaga maiti hiyo kwa kuwa marehemu alikufa kishujaa.

Alidai viongozi wa Chadema waliamuru familia hiyo endapo itakataa na kutokukubali kuaga maiti ya ndugu yao chama hicho kitajivua na kujitoa kushughulikia gharama za mazishi na kuifanya familia hiyo kuuacha mwili huo katika chumba cha maiti kwa kuhofia wafuasi wa chama hicho watawadhuru kwa kuwa walifurika katika chumba hicho cha kuhifadhia maiti.

Aliendela kudai kuwa kutokana na sababu hizo familia hiyo ilibaki na masikitiko makubwa kwa kuwa wafuasi wa chama hicho walikuwa wamevalia njuga suala hilo na familia kubaki katika wakati mgumu kutokana na waislamu kuchukukizwa na kitendo hicho na kauli ya viongozi hao.

Hata hivyo Familia hiyo iliomba radhi kwa shehe waliomundaa kwa ajili ya kushughulikia mazishi hayo kwa kupata usumbufu wa kuondolewa katika chumba cha maiti.

Imedaiwa kuwa shehe huyo iliitaka familia hiyo isimuombe yeye msamaha bali iombe msamaha kwa Mwenyezi Mungu.

Watu watatu walipoteza maisha huko mkoani Arusha katika mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na Polisi kutokana na kufanya maandamano yaliyozuiwa na jeshi hilo.

NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

Kama Kulazimishwa KWA NGUVU maana yake ni "chadema inajitoa" basi mie sielewi Kiswahili.

Mtabana ila soon mtaachia. Waandishi wa Makala kama hizi ni wa kuja KUTANDIKA BAKORA siku moja.

Wakati wenzenu wanakula goodtime, nyie mwalala ndani GIZA na hamna maji.

Wazazi wenu waya Mkali. Waandishi wengine kweli WANALIWA WAMEPAKATWA.
 
MBALI na masikitiko yaliyotolewa na familia ya marehemu Ismail Omari (25) aliyeuawa katika vurugu za kisiasa zilizotokea Januari 5, mwaka huu mkoani Arusha, waumini wengi wa kiislamu wameonekana kutofurahishwa na kitendo cha kuagwa kwa maiti hiyo.
Watu hao walioweza kuzungumza na NIFAHAMISHE wamesema kitendo hicho si cha kiungwana kilichofanywa na Chama hicho kwa kuwa walikiuka maandiko na maamrisho ya dini ya kiislamu.

Chadema juzi iliwaaga kwa pamoja watu waliofariki katika vurugu katika uwanja wa NMC mkoani Arusha tukio lililoandaliwa na chama hicho.

Mbali na watu hao pia familia ya marehemu huyo ililalamikia kitendo hicho na kudai ilishinikizwa kwa nguvu kupeleka maiti hiyo uwanjani hapo kwa ajili ya kuiaga.

Akizungumza kwa masikitiko baba mzazi wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Omar Juma, alisema walipata shinikizo kutoka kwa chama hicho na kuamriwa kuwa maiti hiyo itawekwa uwanjani ili wafuasi wa chama hicho wapate kuiaga maiti hiyo kwa kuwa marehemu alikufa kishujaa.

Alidai viongozi wa Chadema waliamuru familia hiyo endapo itakataa na kutokukubali kuaga maiti ya ndugu yao chama hicho kitajivua na kujitoa kushughulikia gharama za mazishi na kuifanya familia hiyo kuuacha mwili huo katika chumba cha maiti kwa kuhofia wafuasi wa chama hicho watawadhuru kwa kuwa walifurika katika chumba hicho cha kuhifadhia maiti.

Aliendela kudai kuwa kutokana na sababu hizo familia hiyo ilibaki na masikitiko makubwa kwa kuwa wafuasi wa chama hicho walikuwa wamevalia njuga suala hilo na familia kubaki katika wakati mgumu kutokana na waislamu kuchukukizwa na kitendo hicho na kauli ya viongozi hao.

Hata hivyo Familia hiyo iliomba radhi kwa shehe waliomundaa kwa ajili ya kushughulikia mazishi hayo kwa kupata usumbufu wa kuondolewa katika chumba cha maiti.

Imedaiwa kuwa shehe huyo iliitaka familia hiyo isimuombe yeye msamaha bali iombe msamaha kwa Mwenyezi Mungu.

Watu watatu walipoteza maisha huko mkoani Arusha katika mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na Polisi kutokana na kufanya maandamano yaliyozuiwa na jeshi hilo.

NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

Kwa hiyo familia ilikuwa inasikitika jinsi marehemu alivyopelekwa kuagwa uwanjani lakini hawakusikitishwa kwamba ndugu yao aliuawa? Acheni porojo hapa. kama mtu anasikitikia mambo ya mazishi tena ya heshima badala ya kusikitika kuhusu yaliyosababisha kifo cha mtu basi ujue kuna matatizo hapo.
 
yote haya ni mbinu ya ccm kutakakupotosha watu ila imeshangukia pua mana inajaribu kudanganya watu wazima kwa uongo wakitoto inamana kweli iyo familia aijui kijana wao kauawa na nani mpaka waje walaumu walikoangukia
 
ccm na UWT nasikia walifanya kilia liwezekanalo mwili usienda pale uwanjani na wazushe suala la udini wakashindwa,.... sasa nidio yameanza hayaaaaaa
 
Ndugu zangu Waislamu, Watawala wanatumia dini yenu kama kinga ya madaraka yao, msiwafumbie macho WAKATAENI
 
Katika sakata la vurugu za Arusha lililosababisha kifo cha marehemu Ismail Omari, imebainika kwamba taratibu za mazishi ya kiislamu zilikiukwa na hivyo kusababisha baadhi ya mashehe kususia maziko hayo.

Kwa mujibu wa taratibu za mazishi ya kiislamu, mtu aliyekufa anatakiwa kufanyiwa yafuatayo:
  • Kuoshwa
  • Kuvikwa sanda
  • Kuswaliwa swala ya maiti (msikitini au mahala popote pale) na sio uwanja wa NMC ambapo hilo halikufanyika. Na hairuhusiwi mwili kufanywa maonyesho
  • Kuzikwa ( haraka iwezekanavyo) sio kuuweka mwili mochwari kusubiria maandamano ya mazishi
  • Kuombewa dua
Kutokana na hayo basi, CHADEMA kwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa, waliamua kuwashurutisha familia ya mfiwa kusubiri taratibu zao za kichama tofauti na taratibu za kidini, kama alivyosema baba wa marehemu mzee Omari Juma

Ndugu zangu CHADEMA mara nyingine msirudie kufanya jambo kama hili, kwa kutofuata maadili ya dini na mkampanga ya kwenu. Huku ni kujidhalilisha kwani yaonekana hata taratibu za dini nyingine hamzijui
 
changia hii thread yako wewe mwenyewe na akina Kishongo.., zomba.., mwiba na charityboy
 
Katika sakata la vurugu za Arusha lililosababisha kifo cha marehemu Ismail Omari, imebainika kwamba taratibu za mazishi ya kiislamu zilikiukwa na hivyo kusababisha baadhi ya mashehe kususia maziko hayo.

Kwa mujibu wa taratibu za mazishi ya kiislamu, mtu aliyekufa anatakiwa kufanyiwa yafuatayo:

  • Kuoshwa
  • Kuvikwa sanda
  • Kuswaliwa swala ya maiti (msikitini au mahala popote pale) na sio uwanja wa NMC ambapo hilo halikufanyika. Na hairuhusiwi mwili kufanywa maonyesho
  • Kuzikwa ( haraka iwezekanavyo) sio kuuweka mwili mochwari kusubiria maandamano ya mazishi
  • Kuombewa dua
Kutokana na hayo basi, CHADEMA kwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa, waliamua kuwashurutisha familia ya mfiwa kusubiri taratibu zao za kichama tofauti na taratibu za kidini, kama alivyosema baba wa marehemu mzee Omari Juma

Ndugu zangu CHADEMA mara nyingine msirudie kufanya jambo kama hili, kwa kutofuata maadili ya dini na mkampanga ya kwenu. Huku ni kujidhalilisha kwani yaonekana hata taratibu za dini nyingine hamzijui
MONOTONOUS...!
Hivi tunatumia akili kweli?
Thread za namna hii ni nyingi sana humu ndani, lakini kwa vile mtu anasumbuliwa hela ya mboga nyumbani anaamua kutundika recycle ya ishu ya zamani kwa kubadili maneno mawili...ni upumbavu uliopelea!...unapoteza muda na resources. ...you copy-cat!
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

 
Katika sakata la vurugu za Arusha lililosababisha kifo cha marehemu Ismail Omari, imebainika kwamba taratibu za mazishi ya kiislamu zilikiukwa na hivyo kusababisha baadhi ya mashehe kususia maziko hayo.

Kwa mujibu wa taratibu za mazishi ya kiislamu, mtu aliyekufa anatakiwa kufanyiwa yafuatayo:

  • Kuoshwa
  • Kuvikwa sanda
  • Kuswaliwa swala ya maiti (msikitini au mahala popote pale) na sio uwanja wa NMC ambapo hilo halikufanyika. Na hairuhusiwi mwili kufanywa maonyesho
  • Kuzikwa ( haraka iwezekanavyo) sio kuuweka mwili mochwari kusubiria maandamano ya mazishi
  • Kuombewa dua
Kutokana na hayo basi, CHADEMA kwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa, waliamua kuwashurutisha familia ya mfiwa kusubiri taratibu zao za kichama tofauti na taratibu za kidini, kama alivyosema baba wa marehemu mzee Omari Juma

Ndugu zangu CHADEMA mara nyingine msirudie kufanya jambo kama hili, kwa kutofuata maadili ya dini na mkampanga ya kwenu. Huku ni kujidhalilisha kwani yaonekana hata taratibu za dini nyingine hamzijui

Mwili uliwekwa Chumba cha maiti na serikali. CDM walipokwenda kuuchukua ilikuwa mbinde kwa maana kwamba serikali ilitaka uendelee kukaa huko ha ta kwa mwezi mzima.

Muislam anaweza kuombewa popote isipokuwa uwanja wa NMC?? Hapo umeandika kwa Elimu au kwa ujanja wa kuvuta??

Nani kakwambia MAiti haikuoshwa??

Nani kakwambia MAiti haikuvishwa Sanda?? Unaushahidi??

Nani kakwambia Dua halikusomwa??

Una haja ya nguvu ya kutafuta source nyingine ya habari zako uliyo nayo iko chakari kwa Bangi.
 
Huyo baba wa marehemu kama kweli kasema hayo ni mnafiki kwa kinywa chake aliwaeleza waandishi kwenye geti la mount meru kuwa kuna mtu anaitwa nyerere ndiye aliyekuwa akisimama kama kiongozi wa familia baada ya kifo lkutokea kwani yeye hukaa kondoa na alifika akakuta tayari cdm wanaendelea kuwasiliana mnaye .
Anasema hizo habari za kukataa kupelekwa mwili uwanjani hazikuanzishwa ma familia bali baadhi ya watu hivyo wakaenda kwa shehe wa mkoa akawaambia halina shida bali tu wasionyeshe mwili ndiyo maana mashehe walikuwa uwanjani kuuombea .
Omar alimalizia kwa kusema kuna watu wanataka haki ya mwanangu ipotee na wajukuu zangu wateseke
 
Back
Top Bottom