Chadema hawajakiuka maadili?

Chadema hawajakiuka maadili?

MONOTONOUS...!
Hivi tunatumia akili kweli?
Thread za namna hii ni nyingi sana humu ndani, lakini kwa vile mtu anasumbuliwa hela ya mboga nyumbani anaamua kutundika recycle ya ishu ya zamani kwa kubadili maneno mawili...ni upumbavu ulipelea!...unapoteza muda na resources. ...you copy-cat!
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!


Wewe hizo taratibu za mazishi ulikuwa wazijua ? je zimefuatwa ? hapo ndipo tunapo takiwa kujadili kwani ni muhimu kufuata utaratibu ili next time yasitokee malalamiko, kuwa na hekima na usiwe bukima !
 
Huyo baba wa marehemu kama kweli kasema hayo ni mnafiki kwa kinywa chake aliwaeleza waandishi kwenye geti la mount meru kuwa kuna mtu anaitwa nyerere ndiye aliyekuwa akisimama kama kiongozi wa familia baada ya kifo lkutokea kwani yeye hukaa kondoa na alifika akakuta tayari cdm wanaendelea kuwasiliana mnaye .
Anasema hizo habari za kukataa kupelekwa mwili uwanjani hazikuanzishwa ma familia bali baadhi ya watu hivyo wakaenda kwa shehe wa mkoa akawaambia halina shida bali tu wasionyeshe mwili ndiyo maana mashehe walikuwa uwanjani kuuombea .
Omar alimalizia kwa kusema kuna watu wanataka haki ya mwanangu ipotee na wajukuu zangu wateseke
Kuna watu wana shida eeh...!
Yani mwenye mtoto anashukuru kuwa haki ya mwanawe itapatikana...lakini wapambe ndio wamekomaa kweli kutumia dini kuleta ubaguzi na kueneza sumu ya maneno...
Mpaka sasa hivi ni kwamba wameshindwa vibaya mno!
AIBU!
 
Mwili uliwekwa Chumba cha maiti na serikali. CDM walipokwenda kuuchukua ilikuwa mbinde kwa maana kwamba serikali ilitaka uendelee kukaa huko ha ta kwa mwezi mzima.

Muislam anaweza kuombewa popote isipokuwa uwanja wa NMC?? Hapo umeandika kwa Elimu au kwa ujanja wa kuvuta??

Nani kakwambia MAiti haikuoshwa??

Nani kakwambia MAiti haikuvishwa Sanda?? Unaushahidi??

Nani kakwambia Dua halikusomwa??

Una haja ya nguvu ya kutafuta source nyingine ya habari zako uliyo nayo iko chakari kwa Bangi.

Aliswaliwa pale NMC ? je swala ya maiti ya kiislamu unaijua ?
Alizikwa haraka ?
Hatakiwi maiti ya kiislamu kufanywa maonyesho kama ilivyofanyika.
Ulizia upate kujua , sio kubisha kibubusa !
 
Wewe hizo taratibu za mazishi ulikuwa wazijua ? je zimefuatwa ? hapo ndipo tunapo takiwa kujadili kwani ni muhimu kufuata utaratibu ili next time yasitokee malalamiko, kuwa na hekima na usiwe bukima !

Wewe uliletewa malalamiko kuwa taratibu hazikufuatwa?ulikuwa Arusha siku hiyo? ulianzisha mada bila kutuambia kama kweli taratibu zilikiukwa na bado unatuuliza kama zimefuatwa.wewe ulipaswa kutuambia kuwa utaratibu ulikiukwa na ndicho ulichosema ulipoanzisha mada. kwanini unakuja na swali hilo?
 
Wewe hizo taratibu za mazishi ulikuwa wazijua ? je zimefuatwa ? hapo ndipo tunapo takiwa kujadili kwani ni muhimu kufuata utaratibu ili next time yasitokee malalamiko, kuwa na hekima na usiwe bukima !
Wewe unaakili kuliko masheikh waliokuwepo pale NMC na kuuswalia mwili?
Msiegemee habari za kuambiwa...spoonfed monkeys!
Hakuna mtu anayeweza kufanya taratibu za kuandaa mwili wa marehemu wa kiislamu bila kufuata taratibu zinazopaswa!...Hata mortuary attendants tu wanajua hilo na hawawezi kufanya makosa!...
Ukisimuliwa kitu CHANGANYA NA ZAKO...wee MBAYUWAYU!
 
Aliswaliwa pale NMC ? je swala ya maiti ya kiislamu unaijua ?
Alizikwa haraka ?
Hatakiwi maiti ya kiislamu kufanywa maonyesho kama ilivyofanyika.
Ulizia upate kujua , sio kubisha kibubusa !

Nimeuliza maswali wewe unaita kubisha Kibubusa. Haya nipe hiyo Ilimu ya swala ya maiti Kiseseba!
 
Huyo baba wa marehemu kama kweli kasema hayo ni mnafiki kwa kinywa chake aliwaeleza waandishi kwenye geti la mount meru kuwa kuna mtu anaitwa nyerere ndiye aliyekuwa akisimama kama kiongozi wa familia baada ya kifo lkutokea kwani yeye hukaa kondoa na alifika akakuta tayari cdm wanaendelea kuwasiliana mnaye .
Anasema hizo habari za kukataa kupelekwa mwili uwanjani hazikuanzishwa ma familia bali baadhi ya watu majirani hivyo wakaenda kwa shehe wa mkoa akawaambia halina shida bali tu wasionyeshe mwili ndiyo maana mashehe walikuwa uwanjani kuuombea .
Omar alimalizia kwa kusema kuna watu wanataka haki ya mwanangu ipotee na wajukuu zangu wateseke
 
Hii habari si ilishakuja tena watu wakaichangia imekuwaje tena imerudi? Ina maana gani kurudia kuandika habari ambayo ilishaletwa? nini lengo la huyo mleta mada?
 
Katika sakata la vurugu za Arusha lililosababisha kifo cha marehemu Ismail Omari, imebainika kwamba taratibu za mazishi ya kiislamu zilikiukwa na hivyo kusababisha baadhi ya mashehe kususia maziko hayo.

Kwa mujibu wa taratibu za mazishi ya kiislamu, mtu aliyekufa anatakiwa kufanyiwa yafuatayo:

  • Kuoshwa
  • Kuvikwa sanda
  • Kuswaliwa swala ya maiti (msikitini au mahala popote pale) na sio uwanja wa NMC ambapo hilo halikufanyika. Na hairuhusiwi mwili kufanywa maonyesho
  • Kuzikwa ( haraka iwezekanavyo) sio kuuweka mwili mochwari kusubiria maandamano ya mazishi
  • Kuombewa dua
Kutokana na hayo basi, CHADEMA kwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa, waliamua kuwashurutisha familia ya mfiwa kusubiri taratibu zao za kichama tofauti na taratibu za kidini, kama alivyosema baba wa marehemu mzee Omari Juma

Ndugu zangu CHADEMA mara nyingine msirudie kufanya jambo kama hili, kwa kutofuata maadili ya dini na mkampanga ya kwenu. Huku ni kujidhalilisha kwani yaonekana hata taratibu za dini nyingine hamzijui


Hapo kwenye RED kama ndivyo uislamu unavyosema, basi nachukuwa fursa hii kumuombea radhi/samahani JK kwa kuufanya maonesho maiti ya Rashid mfaume kawawa, maana aliletwa pale karimjee na show ilikuwa ndefu kwa masaa mengi tu.
 
Wewe unaakili kuliko masheikh waliokuwepo pale NMC na kuuswalia mwili?
Msiegemee habari za kuambiwa...spoonfed monkeys!
Hakuna mtu anayeweza kufanya taratibu za kuandaa mwili wa marehemu wa kiislamu bila kufuata taratibu zinazopaswa!...Hata mortuary attendants tu wanajua hilo na hawawezi kufanya makosa!...
Ukisimuliwa kitu CHANGANYA NA ZAKO...wee MBAYUWAYU!

Nimeipenda hiyo yenye red color.
 
Nimeuliza maswali wewe unaita kubisha Kibubusa. Haya nipe hiyo Ilimu ya swala ya maiti Kiseseba!

Swala ya maiti ya kiislamu ina rakaa 4, na inaswaliwa kama swala zingine isipokuwa yenyewe ni kusimama tu. Kwa hiyo masharti mengine yote ya kuwa msafi nk lazima yafuatwe, upo hapo mkuu ?
 
Wewe unaakili kuliko masheikh waliokuwepo pale NMC na kuuswalia mwili?
Msiegemee habari za kuambiwa...spoonfed monkeys!
Hakuna mtu anayeweza kufanya taratibu za kuandaa mwili wa marehemu wa kiislamu bila kufuata taratibu zinazopaswa!...Hata mortuary attendants tu wanajua hilo na hawawezi kufanya makosa!...
Ukisimuliwa kitu CHANGANYA NA ZAKO...wee MBAYUWAYU!

Sikia kauli ya sheikh Shaaban Juma wa Arusha 'Mbali na Qur'an na Hadithi za Mtume kukataza, lakini kitendo cha kumpeleka marehemu wa
kiislamu uwanjani pale, ambao uligubikwa mapambio ni kinyume na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na ni moja ya sababu iliyosababisha yeye asihudhurie maziko hayo,"

 
Hapo kwenye RED kama ndivyo uislamu unavyosema, basi nachukuwa fursa hii kumuombea radhi/samahani JK kwa kuufanya maonesho maiti ya Rashid mfaume kawawa, maana aliletwa pale karimjee na show ilikuwa ndefu kwa masaa mengi tu.


Muislamu mwenye Pesa na Cheo au Heshima katika jamii mwili wake unaweza fanyiwa maonyesho kwa kiasi kile heshima yake inavyruhusu. Lakini kwa muislamu kapuku mwili wake kuwekwa hadharani ni kinyume kabisa na ibada ya kiislamu.

Mungu hutoa neema kubwa kwa watu wakubwa na neema ndogo kwa watu wadogo.
 
Swala ya maiti ya kiislamu ina rakaa 4, na inaswaliwa kama swala zingine isipokuwa yenyewe ni kusimama tu. Kwa hiyo masharti mengine yote ya kuwa msafi nk lazima yafuatwe, upo hapo mkuu ?

Nipo Alhaj.

Sikuwepo Arusha, mwenzangu ulikuwepo?
 
Muislamu mwenye Pesa na Cheo au Heshima katika jamii mwili wake unaweza fanyiwa maonyesho kwa kiasi kile heshima yake inavyruhusu. Lakini kwa muislamu kapuku mwili wake kuwekwa hadharani ni kinyume kabisa na ibada ya kiislamu.

Mungu hutoa neema kubwa kwa watu wakubwa na neema ndogo kwa watu wadogo.

Hapa tunazungumzia utaratibu, kama mwingine ameuvunja na ww ndio umuige ? Kwa Mungu wanaadamu wote ni sawa hajali pesa yako wala umaarufu wako bali ni matendo yako ndiyo yatakayo kuokoa au kukuangamiza
 
Katika sakata la vurugu za Arusha lililosababisha kifo cha marehemu Ismail Omari, imebainika kwamba taratibu za mazishi ya kiislamu zilikiukwa na hivyo kusababisha baadhi ya mashehe kususia maziko hayo.


Kwa mujibu wa taratibu za mazishi ya kiislamu, mtu aliyekufa anatakiwa kufanyiwa yafuatayo:
  • Kuoshwa
  • Kuvikwa sanda
  • Kuswaliwa swala ya maiti (msikitini au mahala popote pale) na sio uwanja wa NMC ambapo hilo halikufanyika. Na hairuhusiwi mwili kufanywa maonyesho
  • Kuzikwa ( haraka iwezekanavyo) sio kuuweka mwili mochwari kusubiria maandamano ya mazishi
  • Kuombewa dua
Kutokana na hayo basi, CHADEMA kwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa, waliamua kuwashurutisha familia ya mfiwa kusubiri taratibu zao za kichama tofauti na taratibu za kidini, kama alivyosema baba wa marehemu mzee Omari Juma

Ndugu zangu CHADEMA mara nyingine msirudie kufanya jambo kama hili, kwa kutofuata maadili ya dini na mkampanga ya kwenu. Huku ni kujidhalilisha kwani yaonekana hata taratibu za dini nyingine hamzijui
Watu wengine huwa mnawashwa kuandika chochote hata hakina miguu wala kichwa mara ngapi tumeaga miili ya waislam iliyokaa kwa motuali kwa muda mrefu Kawawa alikaa siku ngapi mbona hukuwalaumu CCM kuchelewesha na kuufanyia maonesho mwli wake.
 
Hapa tunazungumzia utaratibu, kama mwingine ameuvunja na ww ndio umuige ? Kwa Mungu wanaadamu wote ni sawa hajali pesa yako wala umaarufu wako bali ni matendo yako ndiyo yatakayo kuokoa au kukuangamiza
Kawawa alikaa siku ngapi.
 
Back
Top Bottom