GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
MONOTONOUS...!
Hivi tunatumia akili kweli?
Thread za namna hii ni nyingi sana humu ndani, lakini kwa vile mtu anasumbuliwa hela ya mboga nyumbani anaamua kutundika recycle ya ishu ya zamani kwa kubadili maneno mawili...ni upumbavu ulipelea!...unapoteza muda na resources. ...you copy-cat!
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Wewe hizo taratibu za mazishi ulikuwa wazijua ? je zimefuatwa ? hapo ndipo tunapo takiwa kujadili kwani ni muhimu kufuata utaratibu ili next time yasitokee malalamiko, kuwa na hekima na usiwe bukima !