Chadema hawa Virusi G55 Wakishaondoka wote Tangazeni Nafasi Zilizo wazi Vijana tuje tuzizibe haraka Sana hatuna kazi huku kitaa na Degree Zetu.

Chadema hawa Virusi G55 Wakishaondoka wote Tangazeni Nafasi Zilizo wazi Vijana tuje tuzizibe haraka Sana hatuna kazi huku kitaa na Degree Zetu.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,550
Reaction score
20,344
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
Naunga mkono hoja kama alivyosema Wenje alunta continue...
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
Hawa wanaoondoka ndio waliokijenga chama. Wengi wana miaka zaidi ya 20 ndani ya chama. Acha uropokaji dogo chama sio sawa na harakati.
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.

kuna maeneo mengine ni ya kujitolea. utakuwa tayari?
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
Hakuna mshahara. Upo tayari kufanya kazi kwa kujitolea?
 
Hebu tueleweshane hao G55 ni wakina nani hasa..?
Mbona sielewi ni nini kinaendelea huko CHADEMA kama wametangaza ajira tuambizane
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
 
Back
Top Bottom