Chadema hawa Virusi G55 Wakishaondoka wote Tangazeni Nafasi Zilizo wazi Vijana tuje tuzizibe haraka Sana hatuna kazi huku kitaa na Degree Zetu.

Chadema hawa Virusi G55 Wakishaondoka wote Tangazeni Nafasi Zilizo wazi Vijana tuje tuzizibe haraka Sana hatuna kazi huku kitaa na Degree Zetu.

Hakuna kitu kama hicho, hakuna mtu aliyeshambuliwa kama lissu na Bado yupo...
Yani mtu aliyekua anaongoza kuwashambulia watu unasema yeye ndio alikuwa anashambuliwa? Kweli ukiamua kuwa nyumbu akili huna matumizi nazo.
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
CHADEMA chini ya Mbowe vyeo havikuwa kwa ajili ya jobless wasio na kipato wategemea tonetone za chama

Ila hiki cha team Lisu kinategemea Tonetone sababu Lisu mwenyewe na Godbless Lema hawana vipato

CHADEMA kimegeuka ghafla kuwa chama cha malofa

Kilianzishwa kama chama cha Capitalists toka day one siio cha maskini au wajamaa waamini kwenye tonetone

CHADEMA ilianzishwa kama capitalist party ndio maana matajiri na wafanyabiashara walifurika uanachama CHADEMA

Sasa wanaondoka baada ya kuona chama kimepinduliwa kimeshikwa na malofa wasio hata na kazi
Chukueni tu huo uongozi
 
GT

Nawashauri uongozi wa chadema Taifa kupitia nafasi zote zilizoachwa wazi na G55 ili vijana wazalendo tuje tujaze haraka sana.

Tanzania haijawa na Tatizo la nguvu kazi kwa hiyo msiwe na shaka vijana tupo tayari kwa kazi.

Jambo hili msichelewe kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo mara tu mtakapojirizisha wadudu.wote wameshaondoka.
Wajue tu kwamba No One is Irreplaceable in Politics.

Unaondoka leo nafasi inazivwa siku hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom