Chadema fungua shauri mahakamani kupinga maagizo ya msajiri wa vyama vya siasa, "inaezekana" ana maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi, anaweza kuifuta.

Chadema fungua shauri mahakamani kupinga maagizo ya msajiri wa vyama vya siasa, "inaezekana" ana maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi, anaweza kuifuta.

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
TAKE IT SERIOUSLY

Huyu mtu anatafuta sababu ya kuifuta chadema. Msifanye kosa, nendeni mahakamani mfungue kesi kupinga maamuzi yake. Msidharau kauli zake maana zina maagizo ya mteule wake!

Hawa CCM and it affiliates siyo watu tena, ni wanyama kabisa, na kweli ataifuta (ingawa inaweza kuleta srious negative implications), but to be on the safe side tangulia nyinyi mahakamani!

Heche, kukaidi bila kuchukua hatua stahiki hakutasaidia

AU ALTERNATIVELY FANYA KAMA ACT WALIVYOFANYA: SOMA HAPA Erythrocyte TAKE NOTE OF THIS PLEASE

 
HOja yako ni nzuri, ila ni kwamba kuna Move inachezwa na hao wa Baraza kuu kitendo cha kuwaita watakuwa compromised vibaya mno yaani samia atakuwa tiyali hata kuwalipa kila mjumbe million 100, na yafuatayo yatafanyika.

1.Wajumbe hawataenda kwenye mkutano kwa kutoa sababu mbali mbali na akidi kuto timia.

2. Wajumbe kuanzisha fujo kwenye ukumbi

3. Wajumbe kuto wapitisha hao viongozi.

Moja kati ya hayo, tunza hii comment utaja niambia
 
TAKE IT SERIOUSLY

Huyu mtu anatafuta sababu ya kuifuta chadema. Msifanye kosa, nendeni mahakamani mfungue kesi kupinga maamuzi yake. Msidharau kauli zake maana zina maagizo ya mteule wake!

Hawa CCM and it affiliates siyo watu tena, ni wanyama kabisa, na kweli ataifuta (ingawa inaweza kuleta srious negative implications), but to be on the safe side tangulia nyinyi mahakamani!

Heche, kukaidi bila kuchukua hatua stahiki hakutasaidia

AU ALTERNATIVELY FANYA KAMA ACT WALIVYOFANYA: SAMA HAPA Erythrocyte TAKE NOTE OF THIS PLEASE

Hata mimi nimewashauri hivyo japo Mahakama zenyewe nazo haziko huru lakini ni bora kufanya hivyo na kuweka records kuliko kusubiri kufa kibudu bila kujitetea, Mutungi anachofanya ni uhuni tu, ila ikifika wakati akafikia hatua ya kukifuta chama itakuwa hatari kwani kitakachofuata ni shughuli zote za kisiasa kuzuiwa na jeshi la polisi litashirikishwa katika hatua hiyo.
 
Hata mimi nimewashauri hivyo japo Mahakama zenyewe nazo haziko huru lakini ni bora kufanya hivyo na kuweka records kuliko kusubiri kufa kibudu bila kujitetea, Mutungi anachofanya ni uhuni tu, ila ikifika wakati akafikia hatua ya kukifuta chama itakuwa hatari kwani kitakachofuata ni shughuli zote za kisiasa kuzuiwa na jeshi la polisi litashirikishwa katika hatua hiyo.
Kufuta Chama wakati huu wa kuekea uchaguzi sio rahisi kivile yaani sio rahisi, ishu ni kwamba Mtungi anajua timing,
 
Ushauri wa Shaibu pia ni mujarab.
1. Wajumbe watahongwa na hawatatokea wa kutosha kwenye mkutano. akidi haitatimia

2. Wajumbe wataenda mkutanoni na wataanzisha sana fujo, yaani fujo ya hatari.


3. Wajumbe watafika mkutanoni na hatwawapitisha hao viongozi.

Moja kati ya hayo litatumiwa na msajili
 
1. Wajumbe watahongwa na hawatatokea wa kutosha kwenye mkutano. akidi haitatimia

2. Wajumbe wataenda mkutanoni na wataanzisha sana fujo, yaani fujo ya hatari.


3. Wajumbe watafika mkutanoni na hatwawapitisha hao viongozi.

Moja kati ya hayo litatumiwa na msajili
Kama ni hivyo basi chama kife tu haiwezekani kamanda ahongwe asiende wacha CCM iendelee kuliburuza hili taifa mpaka hapo Watu wanakapoona enough is enough.hata kama ni miaka 200 ijayo.
 
HOja yako ni nzuri, ila ni kwamba kuna Move inachezwa na hao wa Baraza kuu kitendo cha kuwaita watakuwa compromised vibaya mno yaani samia atakuwa tiyali hata kuwalipa kila mjumbe million 100, na yafuatayo yatafanyika.

1.Wajumbe hawataenda kwenye mkutano kwa kutoa sababu mbali mbali na akidi kuto timia.

2. Wajumbe kuanzisha fujo kwenye ukumbi

3. Wajumbe kuto wapitisha hao viongozi.

Moja kati ya hayo, tunza hii comment utaja niambia
You nailed it, hiyo ndiyo plan yao, na kwa kuanzia wamesitisha ruzuku ili Chadema wakose hata fedha ya kuitisha hilo baraza Kuu na hapa hapo wajumbe watakuwa wamefikiwa kwa miamalana ikibidi hata kwa vitisho. Kwa vile Msajili amefanya kazi ambayo sheria haimpi mamlaka hayo njia bora ni kumpeleka Mahakamani tu .
 
Kwani huyo Mnyika si aliteuliwa na Mbowe na Lisu akaamua kuendelea naye?

Nimekaa pale 🐼
 
TAKE IT SERIOUSLY

Huyu mtu anatafuta sababu ya kuifuta chadema. Msifanye kosa, nendeni mahakamani mfungue kesi kupinga maamuzi yake. Msidharau kauli zake maana zina maagizo ya mteule wake!

Hawa CCM and it affiliates siyo watu tena, ni wanyama kabisa, na kweli ataifuta (ingawa inaweza kuleta srious negative implications), but to be on the safe side tangulia nyinyi mahakamani!

Heche, kukaidi bila kuchukua hatua stahiki hakutasaidia

AU ALTERNATIVELY FANYA KAMA ACT WALIVYOFANYA: SAMA HAPA Erythrocyte TAKE NOTE OF THIS PLEASE

Wafuate ushauri wa ADO
 
Back
Top Bottom