kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Mwaka 2021 Mhe. Rais Samia Suluhu alisimikwa kuwa Chifu mkuu na Umoja wa Watemi wa Kisukuma kwa kushirikiana na Umoja wa Machifu Tanzania, katika tamasha la Utamaduni wa Mtanzania na kumpa jina la Hangaya, lenye maana ya Nyota inayong’aa asubuhi.
Baada ya tukio hilo upinzani wakiongozwa na CHADEMA waliponda na kusema nchi inarudi kwenye utawala wa makabila na kudai kile kilichofanyika ni Ushirikina. Je kilichofanyika jana kwa mwenyekiti wao ni nini? Bado wanaendelea kumjadili Chifu Hangaya na Uchifu wake?
Baada ya tukio hilo upinzani wakiongozwa na CHADEMA waliponda na kusema nchi inarudi kwenye utawala wa makabila na kudai kile kilichofanyika ni Ushirikina. Je kilichofanyika jana kwa mwenyekiti wao ni nini? Bado wanaendelea kumjadili Chifu Hangaya na Uchifu wake?