Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,539
- 34,667
I am eagerly waiting to witness this.The only contest I will entertain with you is CV sharing. Share yours I share mine then our audience will decide nani mbabaishaji.
I am eagerly waiting to witness this.The only contest I will entertain with you is CV sharing. Share yours I share mine then our audience will decide nani mbabaishaji.
Unatumia kigezo kipi kumuita dogo ?Dogo we ni Dr wa Nini?
April 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Japokuwa mawazo haya yalishabihiana na yale yaliyotolewa na Ndugu Ansbet Ngurumo, journalist loyalist wa CHADEMA wa muda mrefu, hayakupokewa vizuri na wengi, nadhani pengine yalionekana kama ni msimamo wa G55.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Imeandikwa katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mithali 22:3 "Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia"
A prudent man foreseeth the evil, and hideth himself: but the simple pass on, and are punished.
The best measure is what everybody is able to see right here!The only contest I will entertain with you is CV sharing. Share yours I share mine then our audience will decide nani mbabaishaji.
And you imagine that can happen!I am eagerly waiting to witness this.
Mm ni Doctor of Medicine, MD holder, mwenye usajili kamili wa baraza la madaktari MCT, namba yangu ya usajili ni MCT0129, currently in my second year of my specialization in MMED Internal medicine. I am a senior medical officer with extensive 10yrs experience of working in and out government. I have been president of university students organization in my undergraduate training as well as chief resident in my postgraduate training, serving in post such as member to school boards, member of university college governing board, member to university senate, member to university council. In my prime year of school politics I served a the secretary General to the East Aftrican Community Students Union.Unatumia kigezo kipi kumuita dogo ?
Na sasa unapambana "kuaminiwa kuongoza" kuendeleza maovu katika uongozi mbovu huu uliopo, au siyo?let alone kuaminiwa kuongoza wenzangu kila nilikopita katika safari ya elimu ya juu.
Kwa hiyo kupiga kura ndo kutatatua hizo changamoto?.....sina muda wa huo umakuJe, kususia uchaguzi ndio kutatatua hizo changamoto mnazozilalamikia?
lakini mnataka ya kwenu watu wa nje waingilie si ndioAHaaa, kumbe! Nimekuelewa mkuu 'stake'.
Ni hivi, ya Iran waachie wenyewe. Haya hapa kwetu ni muhimu zaidi kuliko ya huko kwingine.
Umeniona nachukua fomu kutafuta uongozi? By the way, ni muhimu na wewe tukufahamu maana kila siku unaniita mm kilaza.Na sasa unapambana "kuaminiwa kuongoza" kuendeleza maovu katika uongozi mbovu huu uliopo, au siyo?
Hii ndiyo sababu inayokuondoa akili kabisa kichwani na kujisahau kama unavyoonyesha katika mada zako
EEEEEeeenHEEEEEh!Mm ni Doctor of Medicine, MD holder, mwenye usajili kamili wa baraza la madaktari MCT, namba yangu ya usajili ni MCT0129, currently in my second year of my specialization in MMED Internal medicine. I am a senior officer medical officer with extensive 10yrs experience of working in and out government. I have been president of university students organization in my undergraduate training as well as chief resident in my postgraduate training, serving in post such as member to school boards, member of university college governing board, member to university senate, member to university council. In my prime year of school politics I served a the secretary General to the East Aftrican Community Students Union.
Naomba na mwenzangu huyu anayeniita kilaza kila siku aseme CV yake.
Usitegemee kisichowezekana.Wekeni vyeti hapa hata kama mmevipata magumashly.
Hata sasa watakutukana na kukwambia No Reform, No Election ipo palepale, lakini wakati huo huo Chadema WOTE hadi Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa John Heche anafuatilia kwa karibu nani kakatwa nani kabaki kwenye primaries za CCM wakati wakijua huo ndio mchakato wa Uchaguzi Mkuu wenyewe! Ahahahahaha!!!April 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Japokuwa mawazo haya yalishabihiana na yale yaliyotolewa na Ndugu Ansbet Ngurumo, journalist loyalist wa CHADEMA wa muda mrefu, hayakupokewa vizuri na wengi, nadhani pengine yalionekana kama ni msimamo wa G55.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Imeandikwa katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mithali 22:3 "Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia"
A prudent man foreseeth the evil, and hideth himself: but the simple pass on, and are punished.
Weka yako, ww ndio unaniita kilaza! Kigwangala sina shida naye.EEEEEeeenHEEEEEh!
Hii ndiyo CV unayojigamba nayo? EEEEEEnHEEEEE!
Mbona hata Kigwangala anayo nzuri kukushinda wewe!
Wewe ni mchumia tumbo tu, huna la ziada.
Kwa kuangalia tu kwa haraka, hicho unachokiita CV, ni wazi kwamba wewe ni mtu mwenye tabia ya kinafiki nafiki na kujipendekeza, kujionyesha upate upendeleo maalum. Sifa za uongozi huna.
Weka ya kwako tuisome hasi tu broo!!!EEEEEeeenHEEEEEh!
Hii ndiyo CV unayojigamba nayo? EEEEEEnHEEEEE!
Mbona hata Kigwangala anayo nzuri kukushinda wewe!
Wewe ni mchumia tumbo tu, huna la ziada.
Kwa kuangalia tu kwa haraka, hicho unachokiita CV, ni wazi kwamba wewe ni mtu mwenye tabia ya kinafiki nafiki na kujipendekeza, kujionyesha upate upendeleo maalum. Sifa za uongozi huna.
Hilo sahau.Umeniona nachukua fomu kutafuta uongozi? By the way, ni muhimu na wewe tukufahamu maana kila siku unaniita mm kilaza.
Mwambieni mwenzenu aweke na mm niweke. Tumechoka matusi kutoka kwa wendawazimu.Usitegemee kisichowezekana.