How come a single 'coward' be a bunch?A bunch of coward
How come a single 'coward' be a bunch?A bunch of coward
Watu wenye akili finyu kama huyo mleta mada, ikichangiwa na njaa inayowapa msukumo watu wa aina yake hawawezi kuelewa kuwa CHADEMA ni sehemu tu ndogo ya waTanzania ambao wanachukizwa na upuuzi unaoendelea sasa hivi.Sayansi ya siasa ni ngumu sana upepo unaweza kubadilika hata siku mbili baada ya uchaguzi CDM haiwezi kuzuoa Uchaguzi ila Watanzania wakitaka na kuamua na kusahau njaa zao wanaweza kujipambania
What cowardice is in this article? Constructive critiquing is a skill that requires thorough learning and analysis. Verbal diarrhea is disgusting.A bunch of coward
Hakika dunia haijaacha kuzaa wendawazimu! If you can't critique Constructively, you could have done a big favor to yourself by remaining quite. Your disgusting verbal diarrhea is exposing the emptiness of your head.Bora wazazi wako wangetumia kondomu tu
Kwa hiyo leo unahitimisha hapa, kwamba CCM tayari wamemaliza kazi ya kuwavuruga CHADEMA na njia io wazi kwao kuendelea kuwanyanyasa waTanzania?April 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Unasema "muda ni hakimu mzuri..."; lakini hao hao unatazama muda wa uande mmoja unasahau kuwa kuna muda wa uPande huo mwingine?Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Is exactly what you're disPlaying throughout your postings in this forum!Verbal diarrhea is disgusting.
Muda utahukumu! Vyama 18 kati 19 vinaendelea kuteua wagombea, busara gani inakuongoza kuwa vyama 18 vitahirisha kugombea kwasababu ya hiki kimoja kilichobaki?Hakutakuwa na uchaguzi
Sasa akina nyinyi, "the self anointed ones" wa kuwa na akili nyingi, uwezo wenu wa mwisho kufikiri unawatuma kuwa, "kususa uchaguzi" ndio kutaleta mabadiliko?Watu wenye akili finyu kama huyo mleta mada, ikichangiwa na njaa inayowapa msukumo watu wa aina yake hawawezi kuelewa kuwa CHADEMA ni sehemu tu ndogo ya waTanzania ambao wanachukizwa na upuuzi unaoendelea sasa hivi.
Uchaguzi haupo October. Kuzuia uchaguzi kwa Dunia ya Leo huhitaji AK 47.April 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Japokuwa mawazo haya yalishabihiana na yale yaliyotolewa na Ndugu Ansbet Ngurumo, journalist loyalist wa CHADEMA wa muda mrefu, hayakupokewa vizuri na wengi, nadhani pengine yalionekana kama ni msimamo wa G55.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Imeandikwa katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mithali 22:3 "Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia"
A prudent man foreseeth the evil, and hideth himself: but the simple pass on, and are punished.
The Big problem of people suffering from Anthony syndrome (cortical blindness) is confubulation. This is why, as doctor I approach people like you with sympathy. I wish you a speedy recovery.Is exactly what you're disPlaying throughout your postings in this forum!
The Big problem of people suffering from Anthony syndrome (cortical blindness) is confubulation. This is why, as a doctor I approach people like you with sympathy. I wish you a speedy recovery.Ndiyo maana nilikwambia wewe utakuwa ni "Kanjanja" wa fani unayojitambulisha kuwa nayo.
Ulisikia wapi CHADEMA wakisema wao ndio watakaozuia uchaguzi?
Unaendelea na makosa yale yale ya kuonyesha kwako kutoelewa unacho kiandika.Sasa akina nyinyi, "the self anointed ones" wa kuwa na akili nyingi, uwezo wenu wa mwisho kufikiri unawatuma kuwa, "kususa uchaguzi" ndio kutaleta mabadiliko?
Historia ni mwalimu mzuri sana, nini kilitokea 2015 baada ya UKAWA na ACT kususia uchaguzi wa marudio Zanzibar?
watazuia kwenye commentApril 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Japokuwa mawazo haya yalishabihiana na yale yaliyotolewa na Ndugu Ansbet Ngurumo, journalist loyalist wa CHADEMA wa muda mrefu, hayakupokewa vizuri na wengi, nadhani pengine yalionekana kama ni msimamo wa G55.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Imeandikwa katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mithali 22:3 "Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia"
A prudent man foreseeth the evil, and hideth himself: but the simple pass on, and are punished.
Tusubiri huo mudaMuda utahukumu! Vyama 18 kati 19 vinaendelea kuteua wagombea, busara gani inakuongoza kuwa vyama 18 vitahirisha kugombea kwasababu ya hiki kimoja kilichobaki?
Historia ni mwalimu mzuri sana, nini kilitokea 2015 baada ya UKAWA na ACT kususia uchaguzi wa marudio Zanzibar?
vp hamchukizwi na iran pia, vp mnaonaje mkatia kambi paleWatu wenye akili finyu kama huyo mleta mada, ikichangiwa na njaa inayowapa msukumo watu wa aina yake hawawezi kuelewa kuwa CHADEMA ni sehemu tu ndogo ya waTanzania ambao wanachukizwa na upuuzi unaoendelea sasa hivi.
As far as I am concerned, your qualification as a P hysician is highly questionable!The Big problem of people suffering from Anthony syndrome (cortical blindness) is confubulation. This is why, as doctor I approach people like you with sympathy. I wish you a speedy recovery.
Wanaozuia uchaguzi sio CDM ni wananchi ndio wenye hilo jukumu,hata tukilala nyumbani tutakua tumefanikisha kwa amani kabisa mkachaguane wenyewe tu namkose uhalaliApril 24, 2025 niliandika makala "No reform, No election is suicidal" nikijenga hoja kuwa in short term ingewapa CHADEMA cheap popularity ambayo ingeweza massage ego za uongozi mpya, ila in long-term, particularly post election, gharama ambayo chama kitalipa itakuwa ni kubwa na haitakuwa sustainable.
Japokuwa mawazo haya yalishabihiana na yale yaliyotolewa na Ndugu Ansbet Ngurumo, journalist loyalist wa CHADEMA wa muda mrefu, hayakupokewa vizuri na wengi, nadhani pengine yalionekana kama ni msimamo wa G55.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Muda ni hakimu mzuri sana, leo miezi mitatu baada ya makala ile, Je bado tunaamini CHADEMA watazuia uchaguzi? Kwa maslahi mapana ya Taifa letu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, ni vyema viongozi wa CHADEMA wakajithamini na kujisahihisha.
Imeandikwa katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mithali 22:3 "Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia"
A prudent man foreseeth the evil, and hideth himself: but the simple pass on, and are punished.