Sikumbuki kutumia neno hilo, "kilaza"; lakini kama nimelitumia itakuwa ni mahali s'secific'. Msukumo wangiu mzima humu, ni kukataa ulimbukeni. Kama hiyo MD unaona inakuPa sifa ya kuonyesha mawazo yako ni sahihi wakati ni batili; hilo ni lazima litazungumziwa.Mkuu mm sitafuti kazi tena, nimeshakuwa senior officer sasa, nikiacha kazi sasa, labda iwe kwenda kwenye International Organisation! By the way, humu jamii forum kuna watu kibao wananifahamu, nasema hivyo kwasababu wananitext DM, sometimes, kunisalimu, sometimes kunikumbusha tulikotoka, sometimes kunionya ninapokosoa kwani ID yako siyo fake.
Hii nilikueleza wewe ili uache kuniita kilaza.
Nimeelezea hiyo unayoiita wewe CV kuwa ni kama ya kuombea kazi, kwa namna ulivyo iwasilisha, imekaa hivyo.
Na usitake kuzuga watu haPa juu ya uhitaji wako wa kuteuliwa kisiasa. Wewe hutakuwa mtu wa kwanza, tena ambaye 'qualification' zake zipo chini sana. Ni wangaPi wenye fani ya utibabu ambao walisha acha nafasi zao na kuwa wateule wa kisiasa!
Ndiyo maana nasema, wewe siyo mtu mkweli. Unazo tabia za kidanganyifudanganyifu sana. Zinajionyesha zenyewe kwenye michango yako humu.