GE2025 CHADEMA; Bado mnaamini mtazuia uchaguzi?

GE2025 CHADEMA; Bado mnaamini mtazuia uchaguzi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kwani unapinga kuwa Rais hakuasisi 4R?

..Naunga mkono Reforms ni moja ya 4R za Raisi Samia.

..kinachonisitisha ni Reforms kutokutekelezwa kitu ambacho ni kumtweza na kumtukana Raisi.

..Haiwezekani Tundu Lissu anayemuunga mkono Raisi katika Reforms anaonekana mtu mbaya, halafu Makala na Wassira wanaopinga wanaonekana wazuri.

..Wakati umefika tuuseme ukweli. Chadema wanamuunga mkono Rais katika Reforms kuliko Ccm na establishment.

..Hii nchi ni yetu sote.
 
Bila kufanyika reforms kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi, uchaguzi batili UTAYEYUKA.

Sijui kwanini huelewi.
 
Hadi hapa washauzuia yani, usomi wenu wa kukariri mnashindwa kuwa na akili ya kung'amua philosophica situations. Yani hata wakienda kujipa kura na manamba wanayotaka hata 100% ni kwamba haujafanyika maana hauna "CREDIBILITY" uchaguzi usiokua na credibility sio uchaguzi ni maigizo tu!

Wanaochaguana bila kukubalika unawezaje kuuita uchaguzi! Kalagabaho kama unasubiri chadema wakafunge maboksi na miembe na mnapohalalisha uchafu wenu!
 
Back
Top Bottom