Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
Kitendo cha SAMIA kutovunja Bunge ni ishara tosha wanaweza kuja kukabiliana na hoja za CDM.
Hope CDM walipiga hesabu zao vizuri,imagine kwenye vyama vya upinzani vya Chauma,Cuf,& ICT ni mgombea gani ana ushawishi ambaye anaweza kupita hata asipo pendelea-Jibu ni Zitto kabwe pekee.
Je Bunge nzima kuwa na Mbunge 1 wa Upinzani kama ilivyokuwa mwanzo,impact yake ni nini???
Hope CDM walipiga hesabu zao vizuri,imagine kwenye vyama vya upinzani vya Chauma,Cuf,& ICT ni mgombea gani ana ushawishi ambaye anaweza kupita hata asipo pendelea-Jibu ni Zitto kabwe pekee.
Je Bunge nzima kuwa na Mbunge 1 wa Upinzani kama ilivyokuwa mwanzo,impact yake ni nini???