Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,033
Hakika nimeupenda utaratibu wa CCM kuwa na Jumuia ya CHIPUKIZI ktk Chama chao.Jumuia ya Chipukizi ndio UVCCM ya Kesho.
USHAURI kwa CHADEMA Chama Kikuu cha UPINZANI TANZANIA ni vema nao Wakaanzisha Baraza la CHIPUKIZI ( BACHICHA) ili Kesho wawe BAVICHA walioiva kiitikadi ya CHADEMA iliyojengeka ndani ya CHAMA chao.
Nimekisemea CHADEMA kwa sababu ndio CHAMA pekee cha UPINZANI wa KWELI na ndio maana kinapigwa Mawe na CCM na Vyama vingine ambavyo ni Vyama Tanzu vya CCM na vipo kwa ajili ya kufubaisha MIKAKATI na HARAKATI ZA UPINZANI.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
USHAURI kwa CHADEMA Chama Kikuu cha UPINZANI TANZANIA ni vema nao Wakaanzisha Baraza la CHIPUKIZI ( BACHICHA) ili Kesho wawe BAVICHA walioiva kiitikadi ya CHADEMA iliyojengeka ndani ya CHAMA chao.
Nimekisemea CHADEMA kwa sababu ndio CHAMA pekee cha UPINZANI wa KWELI na ndio maana kinapigwa Mawe na CCM na Vyama vingine ambavyo ni Vyama Tanzu vya CCM na vipo kwa ajili ya kufubaisha MIKAKATI na HARAKATI ZA UPINZANI.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app