Wed
JF-Expert Member
- Mar 7, 2011
- 315
- 266
CDM mnafanya kazi nzuri ya kulikomboa Taifa kwenye makucha ya ufisadi. Tupo tayari kuchangia ili kuanzisha TV na pia kituo cha redio ili habari za ukombozi ziwafikie wanachi wengi mijini na vijijini.
Mkikwama mahali tuambieni sisi wanachama wenye uchungu na nchi yetu Tanzania - Tupo tayari kuchangia mabadiliko ili watoto wetu wawe na Tanzania iliyo bora na inayojali haki za kila mtanzania awe - maskini au tajiri, CDM au CCM. CDM tunaamini kwamba uUBAGUZI na UFISADI ni mwiko, na Watanzania wote ni ndugu zangu !
Mkikwama mahali tuambieni sisi wanachama wenye uchungu na nchi yetu Tanzania - Tupo tayari kuchangia mabadiliko ili watoto wetu wawe na Tanzania iliyo bora na inayojali haki za kila mtanzania awe - maskini au tajiri, CDM au CCM. CDM tunaamini kwamba uUBAGUZI na UFISADI ni mwiko, na Watanzania wote ni ndugu zangu !