Limbani
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 1,438
- 442
Gazeti linalomilikiwa na CDM kwa mara nyingine tena toleo la leo jumapili lina taarifa yenye mwelekeo dhahiri wa kuwabeba mapacha watatu.Ni aibu kwa chama kinachojipambanua kupinga ufisadi wakati huo huo kinatumika kuwatetea wanaotuhumiwa kujihusha na ufisadi.Ningependa kunukuu baadhi ya vifungu kama ifuatavyo: Lowassa, Rostam ,waandaliwa 'ZENGWE'
|
|
mtaa wa Mkwepu na Makunganya, jengo la Bilicanas, gorofa ya kwanza, SLP 15261, Dar es salaam, Tanzania
simu +255-22-2126233 • faksi +255-22-2126234 • selula 0713 296570
Angalia uone hili gazeti linamilikiwa na nani na ulinganishe na hili hapa chini:
[h=1]Uhuru Publications Ltd - Gazeti Uhuru, Mzalendo na Burudani[/h]SundayJul 10th
Text size
​