Celtel = Zain Why???

celtel iliuzwa kipindi kirefu sana kwa waarabu ambao wanakampuni ya zain.zain walikuwa wanatumia tuu jina la celtel kwa sababu ya market siyo rahisi kwa mara moja kubadili jina so sasa hiv ndiyo wameipa jina lao
 
Teh teh kumbe hilo jina na mirangi imetuboa wengi! Nilidhani ni pekeyangu... teh teh..

Well labda tutaizoea, ila wakitaka tuipende washushe bei kama Tigo tulonge longe mpaka kuche vinginevyo halipendwi jina wala rangi swala hapa ni unafuu wa 'bora maisha' (JK et al. 2005)

Ndo yale yale tatizo la wabongo wanapend sana dezo!!!

Tunaangalia cheapx2 tu
 
Kevo's response is correct 100%, NO doubt.

Those who do not believe it should do their research else where to be convinced. The company (registered, hence legally) is still Celtel, ownership has not changed, NO tax holidays, nothing...

Wale tusiopenda jina Zain tunao uhuru wa kujisikia hivyo na kutoa maoni, lakini tusijaribu kupotosha wengine hapa maana nimeona neno ufisadi linajitokeza. This word will soon loose its meaning completely if everything is ufisadi, jamani hata company re-branding is also called ufisadi mkubwa!!
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Jamboforums--2007-----2008--------jamiiforums-----2009?????????


Fisadiforums!!!!!!



Nayo Itakuwa Kodi





Mod Tusaidie Kwa Hili
 
Kevo's response is correct 100%, NO doubt.

Those who do not believe it should do their research else where to be convinced. The company (registered, hence legally) is still Celtel, ownership has not changed, NO tax holidays, nothing...

Wale tusiopenda jina Zain tunao uhuru wa kujisikia hivyo na kutoa maoni, lakini tusijaribu kupotosha wengine hapa maana nimeona neno ufisadi linajitokeza. This word will soon loose its meaning completely if everything is ufisadi, jamani hata company re-branding is also called ufisadi mkubwa!!

Heshima yako, mkuu! Una uhakika na unachokisema?? Check this out: Celltel ilikuwa mali ya Mo Ibrahim. About two years back akawauzia waarabu. kwa vile bado Celtell ilikuwa kwenye Tax Holiday waarabu hao hawakukimbilia kufanya ambacho baadhi yenu mnaita Rembranding (rembranding, my a*s!) baada ya Tax Holiday kwisha sasa wamekuja na Zain ambayo nayo lazima ipewe tax Holiday ya miaka mitano! Zaina hakuna Celtell tena humo, wandugu!
Sijui huko kwingine lakini hat Kenya na Uganda ni hivi hivi. Waafrika tuamkeni. Sio lazima kuamini kila anachosema Muwekezaji siku ya uzinduzi wa bidhaa yake! Tunaibiwa, plain and simple.
 
The whole thing sounds crazy to me lakini is this tax holiday for real??? Celtel iko kwenye 22countries why would they change their name only to benefit from tax holiday in Tanzania????

Kwa mianya tunayowapa wawekezaji, Tanzania imekuwa kama kichwa cha mwendawazimu - kila kinyozi mmh. Ona sasa hata JF inatumiwa kama PR ya Zain. Waarabu wanaujua utajiri wa Tanzania na wanajua ulafi (ujinga?) wetu - wanachotanguliza ni kuingiza mguu tu kwanza halafu shingo na kumalizia mwili mzima mwishowe twajikuta nje nje. Tax holiday tunayotoa ni ya pekee na inatosha kabisa kuwafanya wabadilishe jina.

Kibiashara kubadilisha jina holela si busara na ndiyo maana kwa wenzetu majina yalioyoanzishwa karne zilizopita bado zinashamiri hata kampuni ikiuzwa. Hapa Tz majina hubadilishwa kama mashati - ndio utamaduni wetu. Na kama kwa kufanya hivi kuna unafuu km. tax holiday, why not ?
 
celtel iliuzwa kipindi kirefu sana kwa waarabu ambao wanakampuni ya zain. zain walikuwa wanatumia tuu jina la celtel kwa sababu ya market siyo rahisi kwa mara moja kubadili jina so sasa hiv ndiyo wameipa jina lao


..sahihi kabisa!
 
..una uhakika?. toa data!

Ndugu,hawa watu ukianza kushindana nao hutafika mahali!Wanaandika tuu yale wanayoyafikiria na kusikia huko mitaani ila waambie waseme wanayoyajua ama kutoa data!Watapotea hata hutajua walipopotelea!
 
Ndugu,hawa watu ukianza kushindana nao hutafika mahali!Wanaandika tuu yale wanayoyafikiria na kusikia huko mitaani ila waambie waseme wanayoyajua ama kutoa data!Watapotea hata hutajua walipopotelea!

..haswaa,

..wamenikumbusha zile enzi za kupigana fix vijiweni, ujuzi mwingi kuhusu sinema za kihindi wakati hata "chori, chori" hatujui.
 
..una uhakika?. toa data!


...DATA? It is right in front of your eyes! Problem is, you have decided not to SEE it and you want other to SEE it for you, a problem that bessets many a Tanzanian. Too bad, just too bad....!
 
Nimekuwa nikijiuliza nini maana ya kubadili badili majina ya makampuni makubwa kama vile, SHERATON iligeuka kuwa ROYAL PALM na sasa MOVENPICK. Pia makampuni ya simu kama Mobitel ikageuka kuwa tiGO. Lakini hili la sasa la kampuni ya simu celtel kuwa ZAIN limenifumbua macho. Nimejiuliza huku na kule mwisho nikapata jibu kwamba, kila kampuni hupewa kitu kinaitwa "Tax Holiday" ambapo mkataba huwa miaka mitano mitano ambapo kampuni husika huwa haipaswi kulipa kodi yoyote. Kwa hiyo hzinduzi wa makampuni haya kwa kubadilisha majina nimeona ni mzigo kwa jamii, kuna ufisadi mkubwa unafanywa, wananchi tumechoka, hatutaki.


Mimi yangu macho tu sina la kusema kwa leo maana yametokea na yanatokea zaidi .
 
....Funny, how you are not asking this one for Datas....??!!?? So you have already taken sides, Eh?? Too bad, just tooBad...!

..i dare you, weka data hapa!

..and fyi, i'm not taking sides!

..najaribu kuweka picha sawa, watu wanapenda kupotosha sana mambo. na hiyo si kwa faida ya yeyote yule, mimi au wewe.
 
..i dare you, weka data hapa!
..and fyi, i'm not taking sides!

..najaribu kuweka picha sawa, watu wanapenda kupotosha sana mambo. na hiyo si kwa faida ya yeyote yule, mimi au wewe.


...mkuu, kuna mambo huwezi ukategemea kufungua tu draw ya meza ya fisadi fulani na kuyachukua na kuja kuyaweka hapa.
kuna na mambo ambayo all you need is simple common sense.
and for that, i rest my case.
I just hope we will all be here in FIVE years time. Tuombe Uzima.
That time it surely will be MAIM...for Maimuna! teh teh. Poor Tanzanians.
 
Back
Top Bottom