BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
Ndugu,hawa watu ukianza kushindana nao hutafika mahali!Wanaandika tuu yale wanayoyafikiria na kusikia huko mitaani ila waambie waseme wanayoyajua ama kutoa data!Watapotea hata hutajua walipopotelea![/QUOTE]
...Inawezekana, mkuu! But how about labda wanafanya hivyo kuepuka arguing with a fool because people might just not notice the difference??? teh teh.