Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,149
- 3,503
Nimekuwa nikijiuliza nini maana ya kubadili badili majina ya makampuni makubwa kama vile, SHERATON iligeuka kuwa ROYAL PALM na sasa MOVENPICK. Pia makampuni ya simu kama Mobitel ikageuka kuwa tiGO. Lakini hili la sasa la kampuni ya simu celtel kuwa ZAIN limenifumbua macho. Nimejiuliza huku na kule mwisho nikapata jibu kwamba, kila kampuni hupewa kitu kinaitwa "Tax Holiday" ambapo mkataba huwa miaka mitano mitano ambapo kampuni husika huwa haipaswi kulipa kodi yoyote. Kwa hiyo hzinduzi wa makampuni haya kwa kubadilisha majina nimeona ni mzigo kwa jamii, kuna ufisadi mkubwa unafanywa, wananchi tumechoka, hatutaki.