CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Hii game wakuu tumeshalala...hatupo aggressive kabisa...mipira inapotea sana
 
Mkuu nipe mwongozo kuhusu nyimbo za taifa kwny gae ya kesho kutwa kati ya Straz na Zenji

mkuu mwaka jana nakumbuka tulikutana nao kwenye kombe hilihili na wakatufunga kwa goli la Abdi kassimu "Bab" kama sikosei...ila sikumbuki itafaki ilifuatwaje kwenye wimbo wa taifa.!
 
Tunashambuliwa.....Freekick kuelekea angoni mwetu,,,,Kaseja anaokoa.....Kona...

Anadaka
 
I simply love Uganda ! Funga hao mapimbi wa taifa la mafisadi
 
Frank Domayo kaumia...Huyu mtoto ni HAZINA kwa taifa letu....ATUNZWE

Anaujua mpira HASWA
 
Lishe muhimu tizaama wametuzidi na Ubavu wenzetu wanakula Matoke Ndizi zile na Mchuzi wa Karanga za kusagwa sie Ugali tu wenye Amira kuleni Ugali wa Muhogo.
 
dak 71 hali yetu bado mbayo...ila sifa yetu ni kucheza rafu tu.
 
Back
Top Bottom