CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Tumekoswa la 3......Offside.......Kapombe apunguze uzembe, la sivyo tutafungwa mengi
 
Bocco sio kwamba hachezi vizuri inahitajika Middle inayoingia na kumchomekezea Pasi nzuri za chini Ruler pass iliyokwenda shule Ngassa ndio wakutolewa anakimbia tu mabio basi.
 
Sasa mbona cjawahi kuona Yondani, Nyoso au Ferdinand akianzisha
Vipi mpira ukianzishwa then ukapigwa kuelekea langoni kwao....Watapaa kurudi nyuma kuokoa?.....Ni mpangilio tu wa nafasi za uwanjani...Japo hakuna sheria inayomzuia beki kuanzisha mpira
 
!...tukishikwa, tunashikamana. Umoja ni Nguvu...
 
Bocco sio kwamba hachezi vizuri inahitajika Middle inayoingia na kumchomekezea Pasi nzuri za chini Ruler pass iliyokwenda shule Ngassa ndio wakutolewa anakimbia tu mabio basi.

Pale angekuwepo mzuzu Tegete mambo mswano tatizo timu inachaguliwa kinazi mno
 
Hili Ndio tatizo letu tukifungwa tunataka kulazimisha mpira kuupiga juu haraka za nini tunatakiwa tutulie Na Mabeki wetu wanakuwa Kama wanacheza Mpira wa Magoli ya "Mawe" mtu akishaona kashindwa anaanza Rafu tutulie mpira DK ni 90 tutulie taratibu Ngassa amtoe tu.
 
Timu yetu imeshakata tamaa.....Kocha kakata tamaa.......Amekubali kushindwa......

Chuji anaingia, anatoka Sure Boy.......Sub ni nzuri....Japo ameche
lewa sana.....Dogo alitakiwa kutoka tangu dakika ya 20
 
Chuji aitakiwa kuanza mechi hii.........

Dakika ya 65

Tanzania 0-2 Uganda
 
Back
Top Bottom