CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Wadau sasa ndio nafika home nadhani sasa tutakua tunaonga lugha moja second half
 
And above all the so called kili stars has neither its real national song nor flag!What do you expect...!Just kidding Mungu ibariki Tanganyika ishinde.
mmmh!!!kwa hiyo tunatumia wimbo na bendera ya watanzania ili hali sisi si watanzania!!!
 
Mkuu hata tumekuwa na tatizo la strikers, Akuffo kapigwa ''misumari'', Sunzu kaisha......sasa Ngasa na Okwi ndo ilikuwa ndo wamebaki kama wakombozi.......ni mapovu ya Rage ni positive

Pole mtani punguzeni siasa kwenye mpira
 
kocha itabidi ajilaumu kwa kuwapanga makinda pale katikati na hasa unapocheza na timu yenye wachezaji waliokomaa kimchezo kama Uganda. Timu ambayo haijafungwa miaka nane nyumbani kwao na mara kadhaa imekuwa ikinusa kucheza michezo ya CAF.

Madogo hao akina Domayo na Sure Boy ni wazuri lakini kwa mechi kama hii ya nusu fainali na Uganda unahitaji Uzoefu na Ukomavu. Bila shaka nakubaliana nanyi Chuji na Nditi wangeanza pale mwanzoni na hawa madogo wangekuja dakika 25 za mwisho kama mambo ni bado mabaya.
 
Timu yetu haieleweki......Hakuna mipango ya ushindi...


Tumekoswakoswa tena....Baba Kizito anatusumbua kwei

Tanzania 0-2 Uganda

Sentongo
 
Back
Top Bottom