CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

mapumziko 45 zimekwisha. Mpira ni wa kukamiana sana kwa hizi dak 45 za kwanza.
 
Bado tuna tatizo kwenye Kiungo......Ngassa, Bocco na Kazimoto hawalishwi mipira kule mbele....

Kuna haja kocha akamuingiza Chuji ambaye ni mkabaji na anapeleka mashambulizi mbele
 
Haya makocha wa mtaani semeni nini kifanyike ili tushinde. Au mmezoea kurudia comment za analysts kwa timu za ulaya?
 
Haya makocha wa mtaani semeni nini kifanyike ili tushinde. Au mmezoea kurudia comment za analysts kwa timu za ulaya?

Mkuu tatizo ni kiungo tu, tunahitaji kiungo aina ya chuji wa kupandisha mashambulizi..huyu sure boy amezidiwa sana. Hii mechi ni ngumu kwake.
 
Half time. TZ 0-1 UG

N ikweli mkuu,unajua hata lile goli tulilofungwa ni kwa sababu ya kutojipanga mapema katika dakika zile za mwanzomwanzo,kwa ababu waganda wameanza mpira kwa kasisana na kama ukifuatilia mechi zao tangu mwanzo magoli yao ni ya mapema sana yani yanapatikana katika dakika 15 za kwanza na ndicho kilichotokea leo hii kwetu.

Na kama hatutakua makini tunaweza kulala kwa hilohilo moja,lakini kinachotia matumaini ni kwamba tunafanya mahambuliz na kuingia kwenye 18 kila mara hii inaweza kutusaidia kupata goli la kusawazisha kwa sababu beki yao sio nzuri kihivyo,lakini pia wanachoka kipindi cha pili.

Sema sure Boy leo hayuko fit sana amshindwa kuwahimili wale wakongwe wa kiganda pale katikati,ni vizuri akapumzika nafasi yake ichukuliwe na Chuji,halafu Domayo naye aensde nje nafasi yake ichukuliwe na Nditi ili nditi akae pale nyuma chuji asogee pale mbele ya Boko na ngasa huku wakisaidiana na mkongwe huyu kiungo wa simba Mwinyi Kazimoto ananifurahisha sana mtu huyu the way anavyocheza mpira.
 
Bado tuna tatizo kwenye Kiungo......Ngassa, Bocco na Kazimoto hawalishwi mipira kule mbele....

Kuna haja kocha akamuingiza Chuji ambaye ni mkabaji na anapeleka mashambulizi mbele

Alafu atoke Kiemba aingie Frank Domayo
 
Nashukuru kwa kurekebisha,
"You can not win your enemy when you are divided." So we can not win this match because we have divided our national team, Taifa Stars into two teams Kilimanjaro stars and Zanzibar heroes!!? LOL
 
Mkuu mbona Rage anatokwa povu mauzo ya Ngasa? Dola elfu 70

Mkuu hata tumekuwa na tatizo la strikers, Akuffo kapigwa ''misumari'', Sunzu kaisha......sasa Ngasa na Okwi ndo ilikuwa ndo wamebaki kama wakombozi.......ni mapovu ya Rage ni positive
 
"You can not win your enemy when you are divided." So we can not win this match because we have divided our national team, Taifa Stars into two teams Kilimanjaro stars and Zanzibar heroes!!? LOL
And above all the so called kili stars has neither its real national song nor flag!What do you expect...!Just kidding Mungu ibariki Tanganyika ishinde.
 
Back
Top Bottom