CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Ssentongo anatutungua la pili. krosi ya Kiiza lakini mbona kama Kiiza alikuwa offside?
 
Aibu Hata Zanzibar walicheza mpira mzuri na tulikubali hilo, tunahitaji kucheza kwa umoja hapa kwa kuonana sio kutoka tu mabio na kurukia kwa miguu miwili.
 
Mabeki waitaka kucheza offside trick.....Ikashindikana

Very disappointing

Tatizo limeanzia kwenye kiungo.....Wamepoteza mpira....Erasto Nyoni akazubaa


Kocha bado tu hataki kufanya sub...............Kapombe kawakosa
 
Ngassa, Kazimoto na Bocco hamna kitu so far.....Kwa nini kocha asiwaingize Edward Christopher, Simon Msuva na Rama Singano kujaribu bahati yao?
 
Ssentongo anatutungua la pili. krosi ya Kiiza lakini mbona kama Kiiza alikuwa offside?
Haikuwa offside mkuu....Mabeki waitaka kucheza mtego wa offside...Bahati mbaya Kapombe akasita na kufuata mpira....Akavunja offside....

Ni goli halali na TAMU KABISA
 
Back
Top Bottom