Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dakika ya 20
Tanzania 0-1 Uganda
Tanzania 0-1 Uganda
Hivi Nizar Khalfan yuko mitaa ipi siku hizi?
Thanks Okwi napenda jezi zenu Kama mabingwa wa Kombe la Kagame Yanga Africa
Goi zuri sana Okwi kafunga.....Amemzidi ujanja Shomari Kapombe
Kiungo chetu kimepwaya sana leo.............Tunashambuliwa......
Kuna haja ya kocha kumuingiza Athumani Iddi 'Chuji' haraka sana.....Amtoe Sure Boy pae kati, dogo amepwaya sana kwa dakika hizi 13 za mwanzo......Biashara asubuhi
Pole mkuu...tutaambulia kipindi cha pili Mungu akijaalia.
Naona kiungo kimetulia sasa hivi.....Tunazuia na kutengeneza mashambulizi
Ivi Yanga ni timu yenu au ya Manji????
na watuombee kweli maana sisi tumejitahidi sana!!!
Huyu Sure Boy anaboa sasa.....Atolewe tu...
Tunashambuliwa.....Kona
Yondani anaokoa.....Mpira unakuwa wa kurushwa kuelekea lango letu.........Kaseja anadaka