CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Tunawashambulia.....Isack Isinde anatoa...Mpira unarushwa na Nyoni...Wanautoa tena.....Kona

Maftah anapiga.......Kipa anaokoa.....Nyoni anapiga kichwa Goa
l kick
 
Dakika ya 32

Tanzania 0-1 Uganda

Tunashambuiwa.....Okwi.....Nyoni anaokoa
 
Kuna mchezaji wa Uganda ameumia.....Ni Emma Okwi......Anagangwa

safi sana kwa aliyemshughulikia huyo Okwi...kana masifa sana.hako kakiwa Uganda huwa kanajifanya kama hakatujui wakati SISI ndio tunakapa.mkate wa kila siku
 
Kuna bango la Waganda linasema 'Even Spain can't survive at Namboole', wakuu kuna ukweli katika hili?
 
Dakika ya 35

Tanzania 0-1 Uganda

Kunamchezaji wa Uganda ameumia,anatoewa kwa machela.......Ngassa anakosa goli
 
Safi sana Nyoni......

Okwi ameshindwa kurudi uwanjani....Hamis Kiiza anaingia
 
Okwi out Kiiza in. Nadhani Waganda hawatufungi tena, tusawazishe kisha tuwaongeze.
 
Back
Top Bottom