Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Hizo ni mbinu za kishabiki tu kuivunja moyo Stars. Jee, Stars ina washabiki hapo uwanjani?
Kuna bango la Waganda linasema 'Even Spain can't survive at Namboole', wakuu kuna ukweli katika hili?
kiongozi ushakata tamaa!!!
Afadhali watushangilie na sie! Hiyo ni nzuri kwa upande wetu! Lakini wakenya wanapiga mahesababu, wanajua sisi ni rahizi kwao kuliko uganda wakiingia fainali nao!Sure Boy anamchezea rafu mbaya Hassan Waswa......Ni eneo la Enka...
Huyu dogo anachezaga rafu mabaya sana
Mashabiki wa Kenya wanaungana na watanzania katika ushangiliaji
hiyo reference inanizidi umri sijui kama ni nzuri kujiaminisha nayo!Sio kweli! ni hapo hapo ndipo tuliwaliza mwaka 1965 na tukabeba kombe,lakini unadhani wangesema nini mkuu,hayo ni maneno hata kwenye kangha ya mama yangu niliyaona juzi.