Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,143
- 878
Beki etu imetulia sana leo.......Kiungo bado kina mushkei
Okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tanzania 0-1 Uganda
Leo kazi ipo mapema mapema hivi!!!
Beki etu imetulia sana leo.......Kiungo bado kina mushkei
Okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tanzania 0-1 Uganda
Mzee msukuma naona ume-quote wasukuma wenzio tu......haya bana
Mmmh! Waganda wamejiandaa, kama sie tunaenda tu bila mipango atupati kitu!!Dak ya 10, Uganda wanatushambuli zaidi tuzidi kujiombea.!
urafiki wenu wamashaka!!!!
Beki etu imetulia sana leo.......Kiungo bado kina mushkei
Okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tanzania 0-1 Uganda
Goi zuri sana Okwi kafunga.....Amemzidi ujanja Shomari Kapombe
Kiungo chetu kimepwaya sana leo.............Tunashambuliwa......
Kuna haja ya kocha kumuingiza Athumani Iddi 'Chuji' haraka sana.....Amtoe Sure Boy pae kati, dogo amepwaya sana kwa dakika hizi 13 za mwanzo......Biashara asubuhi
mi mwenyewe nimenasa ubungo hapa sina hamu....naona taffic katususa
pitia yenu upoze kooo!
pitia yenu upoze kooo!