CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

ni kweli halafu hali ya kucheza nyumbani itawapa confidence sana

Yes wana ka-advantage kwa kuwa ni wenyeji na mashabiki ni wao inatakiwa kupigana kweli kweli ili kuwatoa mashindanoni.
 
kilimanjaro chini ya kim paulsen wapo vizuri sana,na hata uganda hawana mpira wa kuitisha kili starz, vijana wanafunguka na kujituma ama hakika they know what their doing,HONGERA KIM
 
kilimanjaro chini ya kim paulsen wapo vizuri sana,na hata uganda hawana mpira wa kuitisha kili starz, vijana wanafunguka na kujituma ama hakika they know what their doing,HONGERA KIM

Leo ndo tutajua mbivu na mbichi.Karibu JF.
 
Haya haya jamani kumekucha. Mkuu Mphamvu uko wapi? Siku imewadia, Mungu ajaalie timu zetu zote mbili zikutane fainali.
 
Last edited by a moderator:
Mechi ya kwanza kt ya znzbr na kenya ni sa 10 mech ya pili u.g na tanganyika ni sa 1:00 ucku.karibuni.
 
mechi ya kwanza ni Zanzibar vs Kenys saa 10 jioni
Tanganyika Vs Uganda saa 1 usiku
 
Ok usiache kutupa matokeo maana huku kwetu ni mwendo wa mvua tu

dakika ya 3
[TABLE="class: league-table"]
[TR="class: even"]
[TD="class: fh"]Zanzibar [/TD]
[TD="class: fs"] 0 - 0 [/TD]
[TD="class: fa"] Kenya [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom