CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Asante mkuu maana nimeona hapa leo pamekuwa kimya sana. Vipi unaonaje, ni heri tukutane na Waganda au Wa-Ethiopia kwenye nusu fainali?

Game imebalance ila Ethiopia hawana wamaliziaji wazuri...
Uganda wanatisha mkuu watatusumbua sana mechi yetu na wao...
Kwa viwango vya leo kwa timu zote ni mara 10 tungekutana na Ethiopia
 
Geoffrey Walusimbi anatolewa nje kupewa matibabu...
 
Dk 70,Emma Okwi anaingia kuchukua nafasi ya Brian Umony
Walusimbi naye karudi uwanjani...
 
Game imebalance ila Ethiopia hawana wamaliziaji wazuri...
Uganda wanatisha mkuu watatusumbua sana mechi yetu na wao...
Kwa viwango vya leo kwa timu zote ni mara 10 tungekutana na Ethiopia

Mkuu hii stage hakuna kuchagua timu. Hao waganda lazima walale kwao ili tulipe kisasi.
 
Mkuu hii stage hakuna kuchagua timu. Hao waganda lazima walale kwao ili tulipe kisasi.

mkuu Makoye nilikua namjibu yule jamaa alikua anataka kujua ni timu gani ni strong leo na asingependa kushuhudia ikicheza na Kili Stars
 
Dk 79 Sentongo wa Uganda anakosa bao la wazi...shuti lake linaenda nje
 
Dk 80. Uganda wanafanya sub
Said Kyeyune anaingia kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
 
Dk 82. Ethiopia wanafanya shambulizi lisilo na malengo...

Uganda 2 - 0 Ethiopia
 
Dk 84. Okwi anakosa goli la wazi anaanguka kabla hajamalizia mpira wa mwisho...
 
Dk 88. Okwi anakosa goli la wazi yeye na kipa....ila asst ref anaonesha ni offside...
 
mkuu Makoye nilikua namjibu yule jamaa alikua anataka kujua ni timu gani ni strong leo na asingependa kushuhudia ikicheza na Kili Stars

Ok Mkuu, nimekupata vizuri sana. Tuombe dua tu hawa Waganda tutawang'oa hapo hapo kwao, hawatishi sana.
 
Dk 92 Uganda wanapata freekick...anapiga Okwi
Mpira unapaaa
 
Mpira umekwisha uwanja wa Nambole...
Uganda 2 - 0 Ethiopia
Wafungaji upande wa Uganda ni;
Geoffrey Kizito na Robert Ssentongo
 
Back
Top Bottom