CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Wakenya wanaonekana kuduwazwa na goli la Zanzibar, wakiendelea hivi Zanzibar wanaweza kuingia fainali. Dak. 26 bado Zanzibar 1-0 Kenya.

Sifa moja ya wakenya mkuu wana pumzi,na kadri muda unvyokwenda ndivyo wanavyoongeza kasi,kikubwa hapo wazenji wawe makini kwanza kulilinda hilo goli,lakini pili wakaifanikiwa kuongeza bao lingine litawakata maini kabisa hao wakenya tofauti na hapo yanaweza kuwa mengine.ingawa hata wao wazenji nao pumzi ipo pamoja na kwamba hailingani na ya wakenya!
 
gh
[TABLE="class: league-table"]
[TR]
[TH="colspan: 4"]December 6 [/TH]
[/TR]
[TR="class: even"]
[TD="class: fd"]13:00 23' [/TD]
[TD="class: fh"] Zanzibar [/TD]
[TD="class: fs"]1 - 0[/TD]
[TD="class: fa"] Kenya [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: fd"] 16:00 [/TD]
[TD="class: fh"] Tanzania [/TD]
[TD="class: fs"] ? - ? [/TD]
[TD="class: fa"] Uganda [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Itabidi kwanza aende Simba kwa mkopo halafu ndo mfanye uhuni wa kumuuza juu kwa juu.

Pelekeni madudu yenu huko sisi hapa tunafuatilia mechi mnataka kuharibu mudy yetu,aghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!
 
Itabidi kwanza aende Simba kwa mkopo halafu ndo mfanye uhuni wa kumuuza juu kwa juu.

aiseee rage anajua kinachoendelea ila anatafuta wakumtolea madhambi yake kwanini waje azam na wasikomae hukohuko simba ili hali ulikuwa ni mkopo..

mcha fanza mambo kina kibela kifua juu chacha..
 
Canavaro amejifunga kwa kukosa mawasiliano na kipa.!
 
dakika ya 34
[TABLE="class: league-table"]
[TR="class: even"]
[TD="class: fh"]Zanzibar [/TD]
[TD="class: fs"] 1 - 1 [/TD]
[TD="class: fa"] Kenya [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: league-table"]
[TR]
[TH="colspan: 4"]December 6 [/TH]
[/TR]
[TR="class: even"]
[TD="class: fd"]13:00 35' [/TD]
[TD="class: fh"] Zanzibar [/TD]
[TD="class: fs"]1 - 1[/TD]
[TD="class: fa"] Kenya [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: fd"] 16:00 [/TD]
[TD="class: fh"]Tanzania [/TD]
[TD="class: fs"] ? - ? [/TD]
[TD="class: fa"] Uganda [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom