ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
ukimwi ukimwi ukimwi! leo hatujaangalia mechi sababu ya ukimwi!
welcome to the world of champions ss9 east
ukimwi ukimwi ukimwi! leo hatujaangalia mechi sababu ya ukimwi!
Duh! Kwa wasomali, ngoja tujipongeze hivyohivyo.!
welcome to the world of champions ss9 east
uuuwi!!!leo nimepitwa mambo!!!! saba???!!!!!!anyway siyo mbaya kwa vile nilikuwa church!!Full time 7 Nil, Bocco 2, Ngassa 5. Fantastic play.
kweli mkuu, hao nawavutia kasi pia
we Makoye Matale,kwani hao jamaa walikuwa wanacheza pungufu!!!Dak. 75, 7-
Ngassa.
uuuwi!!!leo nimepitwa mambo!!!! saba???!!!!!!anyway siyo mbaya kwa vile nilikuwa church!!
hivi jameeni, mie nnauliza hakuna mtu mwenye update za zenji na malawi?
mkuu mchanganyiko wa OKW BOBAN SUNZU leo kaseje alivaa jezi gani?Tatizo jezi ya Kaseja, Mi sijapendendezwa kabisa.........Yanga & CCM = Los
ndo niko najari kuzipitia kiongozi!!!next time waambie basi hawa cecafa wasipange tanganyika kucheza jumamosi!!ninakuwa niko church!!hata highlights zipo usikonde..
we Makoye Matale,kwani hao jamaa walikuwa wanacheza pungufu!!!
aiss!unataka kusema kuwa tuna timu nzuri au tulikutana na timu mbovu!Walikuwa full kikosi, mchezo ulichezwa kiufundi na kistaarab sana. Sio kadi nyekundu tu, hata ya njano hakuoneshwa mchezaji yeyote.
Zinachezwa pamoja.Zenj wako nyuma kwa bao mbili bila dhidi ya Malawi.hivi jameeni, mie nnauliza hakuna mtu mwenye update za zenji na malawi?
Nap!
Wanacheza leo, ni game 4 zitachezwa.
Kesho mapumziko, Jumatatu robo fainali inaanza.