Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Dak. 62 bado 5 kwa Nunge.
Hawa inatakiwa tuwapige kumi kabisa.
Dak. 62 bado 5 kwa Nunge.
ukimwi ukimwi ukimwi! leo hatujaangalia mechi sababu ya ukimwi!
Dak. 75, 7-0
Ngassa.
Kwa hiyo Makoye Matale unatak kuniambia kwamba Ngasa kwa mguu wake peke yake kashapiga manne??!!
Dak. 90, 3 zimeongezwa.
Kwa hiyo Makoye Matale unatak kuniambia kwamba Ngasa kwa mguu wake peke yake kashapiga manne??!!
1 Desemba 2012, kutoka viwanja vya Lugogogogo na Wankunkulu;
Kundi B
1400 EAT: Tanganyika vs Somalia (Lugogo Stadium)
1400 EAT: Sudan vs Burundi (Wankunkulu)
Kundi C
1600 EAT: Malawi vs Zanzibar (Lugogo)
1600 EAT: Eritrea vs Rwanda (Wankunkulu)
Hivi ni kwa nini Kilimanjaro Stars jezi zao zimeandikwa Tanzania wakati Zanzibar iko kivyake? Nadhani hapa kuna tatizo. Au wadau mnasemaje?
Hivi ni kwa nini Kilimanjaro Stars jezi zao zimeandikwa Tanzania wakati Zanzibar iko kivyake? Nadhani hapa kuna tatizo. Au wadau mnasemaje?
Ok, nimekuelewa mkuu.Mkuu naona unataka kuleta mambo ya ''Katiba Mpya''. Tulia kwanza tusherehekee, then uanzishe thread, au sio
Full time 7 Nil, Bocco 2, Ngassa 5. Fantastic play.