CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

huu mpira hauna matumaini kabisa ya kushinda.!
 
Ni kweli mkuu. Pepo wa kufungwa ashindwe na alegee kabisa

mkuu hili game tushalala, hapa tunaangalia kwa upenzi wa soka tu....kama umefuatilia haya mashindano ushindi huamuliwa kwa magoli machache
 
hako kapepo ka watu8 kametukumba wengi, kwa huu mpira ngoja tuone.!

huyo pepo tumemkaribisha wenyewe...yaani inauma kweli hawa Burundi sio timu ya kutufunga sisi
 
Last edited by a moderator:
mkuu hili game tushalala, hapa tunaangalia kwa upenzi wa soka tu....kama umefuatilia haya mashindano ushindi huamuliwa kwa magoli machache
mkuu watu8 mbona unakata tamaa mapema kama idawa,soka dakika 90!
 
Last edited by a moderator:
mkuu watu8 mbona unakata tamaa mapema kama idawa,soka dakika 90!

Hahaha mkuu tamaa nilikata tokea Mphamvu alipotuma thread yake ya shukrani leo mchana...nilijua leo hawa jamaa watatupania ili wajihakikishie kucheza robo fainali mapema...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom