Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
mkuu kemeo pepo mbaya huyo!!Hii mechi tokea nimekua nahisi tutalala
mkuu kemeo pepo mbaya huyo!!Hii mechi tokea nimekua nahisi tutalala
mmmmh!!!Mungu apishie mbali,tunahitaji japo hiyo point moja!Naona kinataka kinuke hapa uwanjani...
Itabidi tukamsachi kipa, haiwezekani kila mpira wa Ngassa utoke...
tbc vipi tena!
mkuu kemeo pepo mbaya huyo!!
Naona kinataka kinuke hapa uwanjani...
Ngassa anafurukuta kiukweli, Bocco 'simuoni' vizuri. Tunaweza kupata bao, tuendelee kuomba dua.
mkuu kemeo pepo mbaya huyo!!
Itabidi tukamsachi kipa, haiwezekani kila mpira wa Ngassa utoke...