CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Kona imepiga, Mrisho Ngassa anapiga mpira unaopaa...
 
Msuva nae ana mikoba?

Mkuu simaanishi ile mikoba ya kwenu na hasa ile unayotunzia Kamera yako,au ambayo huwa anakubebesha Bibi yako.hapana.namaaisha namba aliyokuwa amekabidhiwa kuicheza kashindwa kuitendea haki lakini kiemba anaonekana kuimaster.
 
Mkuu simaanishi ile mikoba ya kwenu na hasa ile unayotunzia Kamera yako,au ambayo huwa anakubebesha Bibi yako.hapana.namaaisha namba aliyokuwa amekabidhiwa kuicheza kashindwa kuitendea haki lakini kiemba anaonekana kuimaster.

ha !ha!ha! Huyo ndugu analeta uyanga na usimba,bora umpe za uso labda atakuelewa.!
 
Mkuu simaanishi ile mikoba ya kwenu na hasa ile unayotunzia Kamera yako,au ambayo huwa anakubebesha Bibi yako.hapana.namaaisha namba aliyokuwa amekabidhiwa kuicheza kashindwa kuitendea haki lakini kiemba anaonekana kuimaster.

Nakuelewa sana, ila unaposema fulani amerithi mikoba sio kwa kila mtu. Lazima awe ana legacy fulani, sio flop of the match kama Msuva.
Yaani ni kama Akuffor au Kandambili Keita aondoke Simba halafu tuseme ameacha mikoba ya kurithi...
 
Awesome shot by Ngassa, naona 'ball dancer' Mwinyi Kazimoto alifanya kazi matata pale...
 
Tumeamuka tumwombe Mungu,naamini yupo upande wetu.!
 
mkuu tupo pamoja, naona Ngasa anapiga mpira mzuri hapa na kipa anacheza vizuri.!

Chupuchupu Mwinyi Kazimoto atuinue hapa... Mpira unapita nje kidogo ya goli.
Penalty wanapata Burundi hapa...
 
Chupuchupu Mwinyi Kazimoto atuinue hapa... Mpira unapita nje kidogo ya goli.
Penalty wanapata Burundi hapa...

Yusuph Ndikumana alichezewa rafu ndani ya boksi na Shomari Kapombe...
 
Back
Top Bottom