Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,981
- 134,108
Game over!
Daaaah, ndo basi tena repoter wetu.........turudi kutatua migogoro yetu makwetu
Game over!
tujipange tuone namna ya kuipata hiyo pint moja!!!Game over!
.......na mpira umekwisha, tumefungwa lakini watoto wa Simba: Ngassa, Kaseja, Kiemba, Mwinyi wametisha!!
.......na mpira umekwisha, tumefungwa lakini watoto wa Simba: Ngassa, Kaseja, Kiemba, Mwinyi wametisha!!
mkuu hivi ile tetesi ya citizen radio iliishia wapi!!!soka limeisha turudi kwenye maisha yetu ya kawaida!Game over!
halafu mnamwogaopa kweli kisa mbunge.!
ha ha ha ha ha ha ha!! watu8 bwana,kwa hiyo pressure zingine mnazipunguza kabla hazijanifikia!!pole kaka!
Kwa hiyo kimahesabu Somalia bado wana nafasi ya kwenda robo fainali ?
Acha ubwege mbona hawajafunga huyo Ngasa na Mwinyi alafu Kaseja amekubali kutiwa?
Daaaah, ndo basi tena repoter wetu
.........turudi kutatua migogoro yetu makwetu
acha upopo wametisha wakati tumefungwa.? Au ni majoka ya kibisa.?
Acha ubwege mbona hawajafunga huyo Ngasa na Mwinyi alafu Kaseja amekubali kutiwa?
Tunazidi kuimarisha mikakati, kabla ya Chrismass ataondoka
Mbona Dalali mlikua mnamvamia nyumbani kwake. Lakini kwa mzee wa pisto mmenywea vibaya pamoja na kuwatapeli kote huko.
............Kaseja kaokoa mangapi, Ngasa cross zote yeye, anakwenda-anakwenda zote zetu............haaaaah, haaaaah, msimaindi wakuu wangu, natania tu, si unajua tumenyukwa
.......na mpira umekwisha, tumefungwa lakini watoto wa Simba: Ngassa, Kaseja, Kiemba, Mwinyi wametisha!!