CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Watu ccm,ccm,ccm,ccm,yanga sanjilin tim yenu bado mbovu.hahahaha!!.
 
atletico wakifunga goal sitashangaa maana yanga wanaonekana kupoteza mwelekeo .mpira wa kipindi cha kwanza ulikuwa mzuri
 
....hayo maelezo labda umpe mtoto mdogo, au shabiki wa netiboli asiyejua mpira. Mazoezi wenyewe kwa wenyewe ni kitu ingine, na mashindano hata kama ni ya mbuzi ni kitu ingine. My pal, tena mtu wa YY alisema ukweli, wangeboronga kule ingeweza aribu kampeni za usajili....maana bado kuna soo ya usajili wa mbwembwe wa magalasa mwaka jana..!
 
Balantanda, achana na wanazi hao, huku Ihenga Usukumani, Mofu ninakufuatilia kwa ukaribu sana. Niko shambani navuna mpunga.
TBC miaka 50 toka uhuru inakamata usiku na asubuhi sana, KBC inatawala hadi vijijini. Asante kwa hivi vi-FM vya Pambazuko na Ulanga ya Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.
 
krosi nzuri kwa yanga wamekosa wakujaza wavuni
 
Balantanda, sikusikii Mayu, loho inadundia juu ya shati?
 
Back
Top Bottom