Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
- Thread starter
- #61
Dah....Atletico wanakoswakoswa
Wanafanya rotation mtani.....Mimi sio kocha lakini Gumbo ni mzuri sana akitokea pembeni kwa sababu ana kasi, kwa hiyo angekaa kushoto, Shamte Ally kulia, Chuji dimba la chini na Niyonzima dimba la juu halafu Kiiza na Tegete ndo wangekaa kwenye sebule, Kiiza ni mzito kucheza pembeni.
Kila la heri watani, hii ndo mechi ambayo mnatakiwa mchange karata zenu vizuri maana APR salaam walizotuma sio nzuri kabisa kwa timu zote zinazoshiriki haya mashindano, hata kama Wasudan ya kusini ni wabovu lakini goli saba ni habari nyingine kabisa inaonyesha wana washambuliaji ambao wanajua kazi yao.Wanafanya rotation mtani.....
Mkuu Crashwise tuwaombea watani washinde ili kesho wafanye uchaguzi vizuri wapate viongozi ili siku tukikutana nao wakose visingizio, wakipoteza hii mechi sijui kama kesho uchaguzi utafanyika kwa usalama.yanga hakuna kitu kabisa yaani ufadhali manyema wangeingia kwenye mashindano haya..
watch on the world of champions..
Acha utoto bana...........yanga hakuna kitu kabisa yaani ufadhali manyema wangeingia kwenye mashindano haya..
yanga hakuna kitu kabisa yaani ufadhali manyema wangeingia kwenye mashindano haya..
Crashwise haujui mpira........Yeye bado ana ushabiki wa mwaka 47 na hataki kubadilika.....Mkuu Crashwise tuwaombea watani washinde ili kesho wafanye uchaguzi vizuri wapate viongozi ili siku tukikutana nao wakose visingizio, wakipoteza hii mechi sijui kama kesho uchaguzi utafanyika kwa usalama.
Mbona uliwasifia sana mwanzoni na kuwaponda TBC?awa startv ovyo kwli.dk 36 bado 2.
awa startv ovyo kwli.dk 36 bado 2.
Simba wanatapatapa........Mbona nackia simba wamepeleka jina la Kelvin Yondani kama mmoja wa wachezaji watakaowatumia kwenye mashindano!
Mbona uliwasifia sana mwanzoni na kuwaponda TBC?